Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,812
Tukutane mwezi wa 5 mwakani majibu yote yatakuwa wazi...Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Man united umeiona wapi hapoKwani Pep yupo Man United?
Ndiye bingwa...wa msimu huuMan united umeiona wapi hapo
Hahaha aiseeNdiye bingwa...wa msimu huu
Kabisakweli aiseeh, man city tunachukua ndoo msimu huu
sio msimu huu tu...ni kwanzia msimu huukweli aiseeh, man city tunachukua ndoo msimu huu
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Ukweli mtupu kaka watakaa namuona morinyo anatafuta chocho la kusepaMtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,