Hao ni mashabiki wa mikopo wanaotoka timu kama man u,Chelsea, Liverpool baada ya upepo kuwakataa... Arsenal ina loyal fans weweWolves EFL kawatoa jasho dakika 120 mpo hoi... kwanza mtu gani huyu anashangilia Man city? au zamani ulikuwa mshabiki wa Arsenal ?
Myself am a Cityzens' fan and your approval is not requiredHao ni mashabiki wa mikopo wanaotoka timu kama man u,Chelsea, Liverpool baada ya upepo kuwakataa... Arsenal ina loyal fans wewe
unajipa moyo tu, arsenal ya sasa haina mpira wa kumpiga city, sawa wanacheza pasi ila haina wachezaji wengi wazuriNa hilo ndio litamfanya apigwe na arsenali, hakuna timu ya EPL inayocheza draft iliyowahi kumsumbua Arsenali, labda kama siku hiyo atacheza mpira wa kutafuta magoli tu vinginevyo sahau kuhusu ushindi.
Mkuu bado ujaamini tu? Ndoo tunajivutia mapema tu!!!Tukutane mwezi wa 5 mwakani majibu yote yatakuwa wazi...
post saved!!
Mkuu ukweli au utani?MAN CITY akibaba EPL nahama TANZANIA,naenda kwa prof./jenerali JOSEPH KONYI.
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Pole yako mkuuguardiola misimu mi4 hachukui kombe EPL..labda wa 5
AISEEE TUONEEMkuu bado ujaamini tu? Ndoo tunajivutia mapema tu!!!
ndoto zako zinakufamwambie PEP hapo EPL kulimshangaza msimu wake wa kwanza alitoka kapa bila hata ya kombe kitu ambacho hakijawahi kumkuta katika maisha yake yote ya ukocha so atarajiwe kushangazwa tena
Sawa mkuu!!AISEEE TUONEE