Gobo Waukweli Member Joined Jul 26, 2016 Posts 16 Reaction score 11 Jul 27, 2016 #1 Kocha mpya wa Klabu ya Manchester city, Guardiola amepiga marufuku ulaji wa chakula kinachoitwa "Pizza" kwa wachezaji wote wa Klabu hiyo kwa chakula hicho kina madhara mengi kwa wanamichezo.
Kocha mpya wa Klabu ya Manchester city, Guardiola amepiga marufuku ulaji wa chakula kinachoitwa "Pizza" kwa wachezaji wote wa Klabu hiyo kwa chakula hicho kina madhara mengi kwa wanamichezo.
kilimbamula JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,792 Reaction score 853 Jul 27, 2016 #2 Basi wale baga
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Jul 28, 2016 #3 Hivi hawawezi kula Magimbi?