Wengi wa wachangiaji ni typical Africans, wako very emotional na skin colour yao bila ya kutizama facts zozote.
Kuna kocha gani ulaya ambae hajawahi kuwa na mizozo na wachezaji?
Huyo Toure ni mpuuzi sana, alichotaka yeye hasa ni nini? kuwa Pep awaeke nje David Silva na De bruynee aceheze yeye ama?
Waafriica ni watu ovyo sana. Taribo West nae aliwahi kulalamika kafanyiwa Ubaguzi AC MIlan kwa kuwa hakua akichezeshwa huku akiamni kuwa yeye Alistahiki kucheza mbele Paulo Maldini, Robert Ayala na Costa Curta.
Pep alipoingia City aliwaondoa Dzeko, Zabaleta, Sagna, Clichy, fernando, Nasri, Kolarov, Danilo, Joe Hart (tenu huyu alimondoa kiroho mabaya kabisa Jamaa alikua England No 1 na akivuma kuwa katika makipo Bora kabisa PL)
Wote hawa hapakuwa na tatizo lolote na wala malalamiko yoyote popote, Ni simple tu yeye kama kocha hakuwaona kuwa wanafaa kwenye mchezo wake. Kwanin hayo malalamiko yawe kwa Toure tu?
Waafrica tuna mambo ya ajabu sana.