Pepo la ngono lina jinsia mbili

1q1
 
Q
 
Nilikuwa nahisi nimelogwa na niliyembwaga kupitia uzi huu nimeshapata jibu.
 
Mkuu Mshana, tatizo la kupiga punyeto linachochewa na pepo au jini gani?, Maana kuna watu wanatamani kuacha wanashindwa.

Nisaidie kwenye hili

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nini suluhisho la Pepi la ngono bro??
Umetafunwa na wangapi??
Suluhisho ni maombi tuu
Kaa kwenye maombi
Dumu kwenye maombi
Ishi kwenye maombi
Tatizo unapenda Sana kuingiziwa dudu tofauti tofauti
Alafu acha tamaaa zako za pesa, starehe,dudu, ukimwi upo korona ipo gono lipo
 
Umetafunwa na wangapi??
Suluhisho ni maombi tuu
Kaa kwenye maombi
Dumu kwenye maombi
Ishi kwenye maombi
Tatizo unapenda Sana kuingiziwa dudu tofauti tofauti
Alafu acha tamaaa zako za pesa, starehe,dudu, ukimwi upo korona ipo gono lipo
Sawa kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…