Pepo la ngono lina jinsia mbili

NI BALAA BROTHER JR.
 
Mungu ndio anaweza kuondoa ayo mapepo na majini,binadamu Uwa wanayatuliza tu.
 
Kwa hiyo wanaopiga puli wana pepo la ngono au jini Mahaba?
 
Sahihi kabisa
Na ikiwa unalo na pengine unahisi limeingia kwa njia ya nyeto na una mpenzi ili litoke hutakiwi kufanya naye mapenzi? Maana umesema chakula chake manii na ukinjunja ni lazima ubwande hapo unafanyaje mzee
 
🤣😍
 
Na ikiwa unalo na pengine unahisi limeingia kwa njia ya nyeto na una mpenzi ili litoke hutakiwi kufanya naye mapenzi? Maana umesema chakula chake manii na ukinjunja ni lazima ubwande hapo unafanyaje mzee
Sometimes kuna situations haziepukiki lakini ukiweza beba manii zako tembea nazo
 
[emoji15][emoji15][emoji3064][emoji2]
Mkuu wangu nimeufurahia tu uandishi wako juu ya hao "roho"....

Kuna mtu aliniambia eti humu "midandamoni" na tukaapo juu ya magogo ya maskani mbalimbali huwa "Wataalamu" wanavuta "manii zetu" na kuwaachia tuondokapo.....

Ya kweli hayo?!!!
 

ina maana likaza na kukukaza
 
Mkuu wangu nimeufurahia tu uandishi wako juu ya hao "roho"....

Kuna mtu aliniambia eti humu "midandamoni" na tukaapo juu ya magogo ya maskani mbalimbali huwa "Wataalamu" wanavuta "manii zetu" na kuwaachia tuondokapo.....

Ya kweli hayo?!!!
Hahahaha lisemwalo lipo ..lisingekuwepo lisingesemwa popote..dunia ni zaidi ya tuijuavyo na siri zake hatujazijua zote
 
 
Hahahaha[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…