Pepo la uaguzi ni nini/kitu gani

Pepo la uaguzi ni nini/kitu gani

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
558
Reaction score
661
Mwami Yesu asingizwe

Habari wakuu I hope mnaendelea vema na mapumziko ya mwisho wa wiki, naomba kupata ufafanuzi wa swali langu kama lilivyo hapo juu kwenye heading.

Nimeambatanisha na vifungu vifuatavyo:-

Matendo 16:16 “Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali, kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua.

17 Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.

18 Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile”.

Nawasilisha.
 
maana yake ni mapepo yanayotibu "uaguzi" ni kuuguza unapoenda kwa wataalum wa mapepo/ waganga wanatumia mapepo kukutibia!.
 
Sorry hapo mwanzo "Mwami Yesu Asingizwe" maana yake nini ?
 
Fafanua kidogo mkuu
Mkuu haya kuna jinsi ya kuyaita na yanakuwa yanakusaidia kwenye mambo yako !!
Kwa mfano ukienda kwa mganga akipiga ramli kujua jambo litalotokea utaona anapandisha pepo la uaguzi ingawa kwa tiba yana majina yake ( mfano twaibuzinaa)
Sasa hili litamwezesha kujua na kukuambia ufanye nini?
Yanatumika sana katika kubeti na jumba ya kamali.

Kuna njia 3 za kuliita lije
 
NI UCHAWI PIA BIBLIA IMEUZUNGUMZIA KWENYE KISA HIKI CHA SAULI KATIKA HARAKATI ZA KUMTAFUTA DAUDI 👇👇LAKINI HAPA UMEITWA "UTAMBUZI"

1 Samweli 28:7

Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
 
Zitaje hizo njia ndugu
Mkuu haya kuna jinsi ya kuyaita na yanakuwa yanakusaidia kwenye mambo yako !!
Kwa mfano ukienda kwa mganga akipiga ramli kujua jambo litalotokea utaona anapandisha pepo la uaguzi ingawa kwa tiba yana majina yake ( mfano twaibuzinaa)
Sasa hili litamwezesha kujua na kukuambia ufanye nini?
Yanatumika sana katika kubeti na jumba ya kamali.

Kuna njia 3 za kuliita lije
 
NI UCHAWI PIA BIBLIA IMEUZUNGUNGUMZIA KWENYE KISA HIKI CHA SAULI KATIKA HARAKATI ZA KUMTAFUTA DAUDI 👇👇LAKINI HAPA UMEITWA "UTAMBUZI"

1 Samweli 28:7

Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
Asante mkuu kwa ufafanuzi mazuri,naomba kuuliza Pepo la utambuzi na uaguzi ni kitu kimoja?
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi mazuri,naomba kuuliza Pepo la utambuzi na uaguzi ni kitu kimoja?
KWA UELEWA WANGU MIMI NAONA NI VITU VIWILI TOFAUTI

MAANA KATIKA KISWAHILI UAGUZI NA UTAMBUZI SIJUI KAMA YANA MAANA INAYOFANANA

LABDA NGOJA TUWASUBIRI WATAALAM
 
KWA UELEWA WANGU MIMI NAONA NI VITU VIWILI TOFAUTI

MAANA KATIKA KISWAHILI UAGUZI NA UTAMBUZI SIJUI KAMA YANA MAANA INAYOFANANA

LABDA NGOJA TUWASUBIRI WATAALAM
Hawa Pepo matumizi yake ni kwaajili ya ulimwengu wa Giza pekee?
 
Back
Top Bottom