Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wanazipunguzia Kindai lisikauke.Kwa nini soda (Peps Take Away) za Singida hazijai inavotakiwa!?? Yaani zipo PUNGUFU kwenye ujazo wake...
Nyama ya punda mbona fresh tu ila ni kosa kuuza nyama ya punda kwa kuiita ngombeSingida ni kituo cha lazima cha Mabasi Tanzania, yaan ukiwa unaenda mkoa wowote singida lazima upite, its a good thing ila bad news ni kwamba wajanja wanaojiita wafanyabiashara wamepageuza kama eneo la kuwatapeli Wasafiri. Tena wakishirikiana na Madereva wa Mabasi kwenye vituo vya kupata Chakula.
Huduma mbovu, soda mpaka maji ni feki na gharama zipo juu sana, watu wanalishwa kuku wabichi au vibudu. Nyama za punda etc yaan sijui tulirogwa na nani Watanzania
Watu washajiongeza hukoKwa nini soda (Peps Take Away) za Singida hazijai inavotakiwa!?? Yaani zipo PUNGUFU kwenye ujazo wake...
Nasikia zile sio kuku ila ni wale ndege John wanaoshinda kwenye majalala ndio tunauziwaSingida ni kituo cha lazima cha Mabasi Tanzania, yaan ukiwa unaenda mkoa wowote singida lazima upite, its a good thing ila bad news ni kwamba wajanja wanaojiita wafanyabiashara wamepageuza kama eneo la kuwatapeli Wasafiri. Tena wakishirikiana na Madereva wa Mabasi kwenye vituo vya kupata Chakula.
Huduma mbovu, soda mpaka maji ni feki na gharama zipo juu sana, watu wanalishwa kuku wabichi au vibudu. Nyama za punda etc yaan sijui tulirogwa na nani Watanzania
Nasikia zile sio kuku ila ni wale ndege John wanaoshinda kwenye majalala ndio tunauziwa