Percy Tau labda arogwe lakini kwa jinsi navomfahamu kesho lazima aweke kambani au atoe assist

Percy Tau labda arogwe lakini kwa jinsi navomfahamu kesho lazima aweke kambani au atoe assist

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Al Ahly sio timu ya mchezo mchezo jamani, hadi mnaona watu wameenda Zanziba kwa mganga wao, wametoa kafara la ng'ombe, wameenda kivukoni kunywa supu ya pweza.

Wameshawishiana wakae uchi mchezo wa kesho kwa kuvaa msuli, wamekutanisha wazee akiwemo baba ake Bacca, wameweka nyota yao kwa Bacca na mauzauza mengi tu ili mradi kesho wapate ushindi.

Wameuchezea uwanja kwa namna wanavyojua wao, wameuroga uwanja kama walivowafanyia wale waliowapiga mabao 5 lakini wakae wakijua mpira ukiujua umeujua tu.

Kesho Percy Tau ataamka salama kabisa na huyo Yao Yao na Lomalisa hakika mtawakataa.
 
Al Ahly sio timu ya mchezo mchezo jamani, had mnaona watu wameenda Zanziba kwa mganga wao, wametoa kafara la ng'ombe, wameenda kivukoni kunywa supu ya pweza, wameshawishiana wakae uchi mchezo wa kesho kwa kuvaa msuli, wamekutanisha wazee akiwemo baba ake Bacca, wameweka nyota yao kwa Bacca na mauzauza mengi tu ili mradi kesho wapate ushindi, wameuchezea uwanja kwa namna wanavyojua wao, wameuroga uwanja kama walivowafanyia wale waliowapiga mabao 5 lakini wakae wakijua mpira ukiujua umeujua tu, kesho Percy Tau ataamka salama kabisa na huyo Yao Yao na Lomalisa hakika mtawakataa.
Utajikojolea amka ukakojoe na ndoto za mchana, mangungu bado amewashikia akili na mawazo ya ulozi Kila siku!
 
Al Ahly sio timu ya mchezo mchezo jamani, had mnaona watu wameenda Zanziba kwa mganga wao, wametoa kafara la ng'ombe, wameenda kivukoni kunywa supu ya pweza, wameshawishiana wakae uchi mchezo wa kesho kwa kuvaa msuli, wamekutanisha wazee akiwemo baba ake Bacca, wameweka nyota yao kwa Bacca na mauzauza mengi tu ili mradi kesho wapate ushindi, wameuchezea uwanja kwa namna wanavyojua wao, wameuroga uwanja kama walivowafanyia wale waliowapiga mabao 5 lakini wakae wakijua mpira ukiujua umeujua tu, kesho Percy Tau ataamka salama kabisa na huyo Yao Yao na Lomalisa hakika mtawakataa.
Daaah!! Moja ya hasara za muingiliano wa makabila ni kukutana na JAMII ZINAZOAMINI USHIRIKINA KAMA WEWE.

Niaamini hata huko kazini kwako muda wote unawaza Ulozi tu na utakuwa unaongoza kwa majungu hapo kazini kwako
 
Yanga playing well when they have possession but they looks disorganized when they lose ball they must be carefully to cover the half spaces and set pieces and dead balls.
 
Al Ahly sio timu ya mchezo mchezo jamani, hadi mnaona watu wameenda Zanziba kwa mganga wao, wametoa kafara la ng'ombe, wameenda kivukoni kunywa supu ya pweza.

Wameshawishiana wakae uchi mchezo wa kesho kwa kuvaa msuli, wamekutanisha wazee akiwemo baba ake Bacca, wameweka nyota yao kwa Bacca na mauzauza mengi tu ili mradi kesho wapate ushindi.

Wameuchezea uwanja kwa namna wanavyojua wao, wameuroga uwanja kama walivowafanyia wale waliowapiga mabao 5 lakini wakae wakijua mpira ukiujua umeujua tu.

Kesho Percy Tau ataamka salama kabisa na huyo Yao Yao na Lomalisa hakika mtawakataa.
Dua la Kuku
 
Al Ahly sio timu ya mchezo mchezo jamani, hadi mnaona watu wameenda Zanziba kwa mganga wao, wametoa kafara la ng'ombe, wameenda kivukoni kunywa supu ya pweza.

Wameshawishiana wakae uchi mchezo wa kesho kwa kuvaa msuli, wamekutanisha wazee akiwemo baba ake Bacca, wameweka nyota yao kwa Bacca na mauzauza mengi tu ili mradi kesho wapate ushindi.

Wameuchezea uwanja kwa namna wanavyojua wao, wameuroga uwanja kama walivowafanyia wale waliowapiga mabao 5 lakini wakae wakijua mpira ukiujua umeujua tu.

Kesho Percy Tau ataamka salama kabisa na huyo Yao Yao na Lomalisa hakika mtawakataa.
Overated player.
 
Ahly analala 2 _1 muda taongeaaà bao 1 Key lingine Pacone......assist ya chomekeaaaa
 
Back
Top Bottom