Perez ni mzee wa black deals, kuna alichopanga subirini suprise

Hili swali muulize Diego Maradona na Messi....pamoja na waajentina,kisha kawaulize uruguay sanasana Diego Godin kisha malizia kwa Verttoghen na hazard kisha lete mrejesho

Messi, Diego and Argentina fans wameingiaje tena humu!
 
lukaku hua ananishangaza sana, hv straiker gan ana kilo 94? Tena kumbuka hapo amejitahd sana kupunguza alikua na 100.2kg, mtu upo uwanjani lakn kama upo windo Mwe...

Duh! Alikuwa mzito sana elufu moja na mbili/1002!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…