Perfomance iko chini

fimbombaya

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
47
Reaction score
12
Wadau nisaidieni tiba kunusuru ndoa yangu!ninatatizo ambalo limenitokea mara kadhaa sasa hasa ninapokua ninangonoka baada ya goli la kwanza tu basi mashine haisimami tena suala ambalo limeleta mgogoro na mwenzangu akinituhumu kuwa nacheza mechi za nje na nikifika kwake huwa nimechoka.
 
ngono + kwake = mke wa ndoa??Samahani nimejikuta nafikiria kwa maandishi!Zipo thread humu kuhusiana na tatizo lako...angalia angalia utakutana nazo upate ufumbuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…