Perfume au kajikojolea..??Shostito kapita hapa yaani hata hamu ya kumwangalia imekatika gafulaa...perfume ya leo in harufu ka ya mkojo..full kichefu chefu
NB: Jifunzeni kuchagua perfume, perfume sio nzuri ka wewe hujifunzi usafiiiii
Au ananuka kimchele Mchele we ukajua unyunyu
Hips.com ujue nimependa jina lako,nashangaa nimelisoma alafu upande wangu wa mbele wote umestuka.
Shostito kapita hapa yaani hata hamu ya kumwangalia imekatika gafulaa...perfume ya leo in harufu ka ya mkojo..full kichefu chefu
NB: Jifunzeni kuchagua perfume, perfume sio nzuri ka wewe hujifunzi usafiiiii
kho kho kho ndo huu hapa umenigusa acha hizo wewe
we hujaipenda lakini mpenzi wake anaipenda.
ha ha ha ha ple sana
Hah hah hahPerfume au kajikojolea..??