Personality Cult-Tanzania

Personality Cult-Tanzania

mwanamasala

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2009
Posts
248
Reaction score
12
Ujamaa na ukoministi umetufanya vibaya sana.Tunaabudu sana viongozi wetu na wao kujion kama Mungu Mtu.Hata media zetu zinachangia sana.
Hata our favourite JF is facing the same from its contributors.
Fanya research ndogo kwenya shule za Msingi na Sekondari.Utaona majina kama Bayi,Salmin,Malecela ,Mwinyi,Mkapa ,Kawawa na wengine wengi.Tunaweza
kumkubali Nyerere kwa hilo,though not much!

Uingereza huwezi ukapata shule inayoitwa Margaret Thatcher,Tony Blair,Harold Wilson,Edward Health etc.Hawa walikuwa great PM wa Uingereza.Hata great war leader hawamuabudu kama sisi tunavyomuabudu
Nyerere!

Mpaka leo sielewi yule binti wa MAKAMBA amekuwa na hits nyingi hapa JF watu wakimsifikia .Oh my God!What is she special?Vodacom?
Leo nasoma photoglob ya Michuzi,eti January Makamba,mtoto wa MAKAMBA anahojiwa!Come on Makamba jamani amefanya nini cha muhimu hapa Tanzania??????
Tuachane na huu ukwara.
 
Hii si Tanzania pekee (not to sound advocating though), Africa nzima na nchi zinazoendelea.

Tatizo letu ni kwamba badala ya kuangalia policies na strategies, tunaangalia personalities na superficialities. matokeo yake ndicho alichokisema marehemu Kolimba in the quotable kutokuwa na "dira wala muelekeo".
 
Ujamaa na ukoministi umetufanya vibaya sana.Tunaabudu sana viongozi wetu na wao kujion kama Mungu Mtu.Hata media zetu zinachangia sana.
Hata our favourite JF is facing the same from its contributors.
Fanya research ndogo kwenya shule za Msingi na Sekondari.Utaona majina kama Bayi,Salmin,Malecela ,Mwinyi,Mkapa ,Kawawa na wengine wengi.Tunaweza
kumkubali Nyerere kwa hilo,though not much!

Uingereza huwezi ukapata shule inayoitwa Margaret Thatcher,Tony Blair,Harold Wilson,Edward Health etc.Hawa walikuwa great PM wa Uingereza.Hata great war leader hawamuabudu kama sisi tunavyomuabudu
Nyerere!

Mpaka leo sielewi yule binti wa MAKAMBA amekuwa na hits nyingi hapa JF watu wakimsifikia .Oh my God!What is she special?Vodacom?
Leo nasoma photoglob ya Michuzi,eti January Makamba,mtoto wa MAKAMBA anahojiwa!Come on Makamba jamani amefanya nini cha muhimu hapa Tanzania??????
Tuachane na huu ukwara.
Siyo watanzania wanaowapa sifa hao wanasiasa. Ni wanasiasa wenyewe wanaojipa hizo sifa na kushinikiza wahusika na pengine ni watu wanaojipendekeza. Ni mojawapo ya tamaduni za CCM. Sasa hivi katikati ya Dar majina ya mitaa yaliyokuwa ya kibantu kwa ajili ya kumbukumbu ya watu mashuhuri au matukio muhimu yamebadilishwa na kupewa majina ya kihindi. Siyo wananchi waliofanya hivyo. Ni walafi wachache ambao bila shaka wamelambishwa kidogo na wahindi.
 
Bado kutukuza wachezaji tu,ROnaldo stadium,Maradona Airport,Chuji road ha ha haaa
 
Back
Top Bottom