na wabunge wanaposafiri nje ya nchi wanatumia pesa ya nani? mfano nasikia malecela atakwea pipa kwenda majuu hivi karibuni......- By kesho ninaweza kuwa angalau na makadirio, lakini kwa haraka haraka naamini angalau Dola kuanzia laki tatu mpaka tano, I could be wrong, lakini my experience na hii misafara inaniambia I am right.
FMES!
Kwa ujumla nakubaliana na hoja zako ingawaje ningependa kujiridhisha zaidi katika haya:
Hivi kama ni usuluhishi wa Mgogoro wa Wakenya si mzee wetu BWM na Mama Mandela, Kofi Annan na wengine wangeweza kustahili pia sifa hizo kwa kuwa walikuwa pale fulltime wakati mkulu wetu alikuwa akiingia na kutoka, kama sijakosea sana?
Hii ya chati ya kupanua haki na Uhuru wa kujieleza si tunaweza tukampa zaidi mzee wetu Ruxa??
Hili la Vita dhidi ya magonjwa ya Ukimwi na Malaria linaweza kukubalika ingawaje pia inawezekana pengine kina BWM walilifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi. Hili la Vita Dhidi ya Rushwa??.....Mmmmmmm??
As for Chuo Kikuu Dodoma, haiwezekani kuwa hii ni mipango ambayo alipoingia Ofisini ilikuwa ni suala la kuikamilisha tu?? Tujuzane Mkuu!
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president.
Ni sawa kabisa Pundamilia lakini wengine hawaoni ni watu wenye uelewa Duni kabisa.Nashaka hata kama wanasoma magazeti yetu wanasikiliza habari katika redio na TV zetu, pengine huangalia mchezo wa redio ndio maana hawaoni jinzi TZ inavyopiga maendeleo.Badala yake kuteremsha matusi dhiidi ya Rais wetu.Moja ya mambo ambayo US imemkubali JK ni pamoja na kupatikana suluhu ya mgogoro wa Kenya katika kipindi kifupi. Mataifa makubwa yalipata wasiwasi wa mgogoro ule kwamba ungeendelea kuwa mkubwa na kuidhoofisha Kenya.
Jitihada za JK ziliwezesha kuweka mambo sawa ndani ya Kenya.
Baadhi tunaweza tusione kuwa ni big issue, lakini athari za mgogoro wa Kenya zingekuwa kubwa sana kwetu na Afrika kwa ujumla kama ungeendelea kukua.
Jambo lingine ambalo limempa chati ni kupanua haki na uhuru wa kujieleza katika Tanzania pamoja na kupanuka kwa demokrasia. Vilevile vita dhidi ya rushwa, magonjwa hasa ukimwi na malaria. Sehemu nyingine ni jitihada zake za kuhakikisha anaweka miundo mbinu ya kuwezesha vijana wengi waweze kupata elimu ya chuo kikuu. Hii ni pamoja na kuongeza idadi ya wanafunzi wanaoingia kidato cha tano, kujenga chuo kikuu kipya pale Dodoma pamoja na serikali kuzipa ushirikiano taasisi zingine kama mashirika ya kidini katika kuanzisha vyuo vikuu.
Ni sawa kabisa Pundamilia lakini wengine hawaoni ni watu wenye uelewa Duni kabisa.Nashaka hata kama wanasoma magazeti yetu wanasikiliza habari katika redio na TV zetu, pengine huangalia mchezo wa redio ndio maana hawaoni jinzi TZ inavyopiga maendeleo.Badala yake kuteremsha matusi dhiidi ya Rais wetu.
Kwani personality ni kitu gani?
What Is Personality?
Almost everyday we describe and assess the personalities of the people around us.
Components of Personality
While there are many different theories of personality, the first step is to understand exactly what is meant by the term personality. A brief definition would be that personality is made up the characteristic patterns of thoughts, feelings, and behaviors that make a person unique. In addition to this, personality arises from within the individual and remains fairly consistent throughout life.
Some of the fundamental characteristics of personality include:
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president.
- Consistency - There is generally a recognizable order and regularity to behaviors. Essentially, people act in the same ways or similar ways in a variety of situations.
- Psychological and physiological - Personality is a psychological construct, but research suggests that it is also influenced by biological processes and needs.
- Impact behaviors and actions - Personality does not just influence how we move and respond in our environment; it also causes us to act in certain ways.
- Multiple expressions - Personality is displayed in more than just behavior. It can also be seen in out thoughts, feelings, close relationships, and other social interactions.
Kwani personality ni kitu gani?
What Is Personality?
Almost everyday we describe and assess the personalities of the people around us.
Components of Personality
While there are many different theories of personality, the first step is to understand exactly what is meant by the term personality. A brief definition would be that personality is made up the characteristic patterns of thoughts, feelings, and behaviors that make a person unique. In addition to this, personality arises from within the individual and remains fairly consistent throughout life.
Some of the fundamental characteristics of personality include:
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president.
- Consistency - There is generally a recognizable order and regularity to behaviors. Essentially, people act in the same ways or similar ways in a variety of situations.
- Psychological and physiological - Personality is a psychological construct, but research suggests that it is also influenced by biological processes and needs.
- Impact behaviors and actions - Personality does not just influence how we move and respond in our environment; it also causes us to act in certain ways.
- Multiple expressions - Personality is displayed in more than just behavior. It can also be seen in out thoughts, feelings, close relationships, and other social interactions.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni JK anayo mambo mengi ambayo ameyafanya suala la kwenda kuomba misaada viongozi woote wameomba hata Rais wa awamu ya kwanza aliomba misaada hata huyo Mkapa naye aliomba misaada
Mimi natamani sana kupata tathmini ya mafanikio yatokanayo na mizunguko ya kiongozi wetu huyu Duniani. Ningependa kujua, kama asingezunguka tungepata faida/hasara gani na kuzunguka kwake kumefanikiwa/hakujafanikiwa kiasi gani.
Hii ingeweza kusaidia kujibu kwa kiasi fulani, baadhi ya shutuma kuwa uongozi wake haujafanikiwa kama ulivyotegemewa.