At least I hammered something into your thick brain😂😂....anyway I also hear thatAll in all magaidi waliwazidi akili na hizo jet zenu zilionekana hazina maana yoyote
Kdf ndio nchi pekee ukanda huu wajeda wake kupigwa na kambi yao kutekwa hivyo basi hizo picture zenu ni sawa na mbwa koko
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Ask Colonel Mohamed Bacar of Anjouan.Je tanzania ivi wana navy? Sijawahi skia na sisemi zile mashua za waarabu wa pemba.
Mpiganaji wa alshabaab nchini somalia mwenye asili ya Ki Tanzania aliuwawa kwa tuhuma za kuwa jasusi aliyekuwa na ushirikiano na vyombo vya Dora kutoka Kenya.Fafanua zaidi hapo kwa tanzania ulipoitaja
Sent using my iPhone using jamiiforum app
I hope i was able to explain my self well.Mpiganaji wa alshabaab nchini somalia mwenye asili ya Ki Tanzania aliuwawa kwa tuhuma za kuwa jasusi aliye kuwa na ushirikiano na vyombo vya Dora kutoka Kenya.
Aaah kumbe walikufa ni 200 tu?
Hongereni kwa kuonesha uwezo wa mapambano
Sent using my iPhone using jamiiforum app
At least I hammered something into your thick brain[emoji23][emoji23]....anyway I also hear that
Idd Amin occupied one of your provinces for months .untill you got help from outside.
200 is still huge numbers but your exaggeration is not pleasing at all
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpiganaji wa alshabaab nchini somalia mwenye asili ya Ki Tanzania aliuwawa kwa tuhuma za kuwa jasusi aliyekuwa na ushirikiano na vyombo vya Dora kutoka Kenya.
200 is still huge numbers but your exaggeration is not pleasing at all
Sent using Jamii Forums mobile app
Westgate sijui Kama wale magaidi walimalizwa ama walitoroka labda nikipata taarifa za DNA za maiti waliopatikana baada ya jeshi kulipua Lile jumba.Idd amin alikalia aridhi ya Tanzania kwa siku 19 kipindi hicho majeshi ya Tanzania yalikuwa yakisuka mikakati kabambe ya kumpiga mpaka kwake(tpdf huwa hawakurupuki)
Idd amin aliteka wilaya mbili tpdf ikamlipa kwa kuteka Uganda yote[emoji23][emoji23][emoji23]
Magaidi walikaa siku ngapi Westgate?
Je mmeshawamaliza ?
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Watanzania wengi Somalia ni magaidi .Juzi wengine wamekamtwa wakitaka kuvuka mpaka kuelekea Somalia.Pia pale Garissa Kuna gaidi mmoja aliyekuwa na asili ya kitanzaniaSasa unaona kuwa mpaka watanzania waliamua kutoa maisha yao ili kuwasaidia kupata taarifa za kijasusi
Kumbe watanzania ni watu safi saana
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Westgate sijui Kama wale magaidi walimalizwa ama walitoroka labda nikipata taarifa za DNA za maiti waliopatikana baada ya jeshi kulipua Lile jumba.
Westgate paliwatoa kamasi,hao hawakuwepo?the evolution of the Kenyan army... tumetoka mbali sana, kuna wakati nusu ya privates walikua hawajui hata I.E.D inamaanisha nini, lakini nimeona jeshi letu liki improove sana... from intel gathering, search and rescue, rapid deployment, countrr terrorism, working with the community in enemy territory..counter IED....its good to be tested, ukikaa hivi unajidanganya uko poa siku jambo likitokea unagundua kumbe ulikua hauko prepaired,
Now Kenya kila mtz anaevuka bora kwenda Somalia huwa mnamkamata na kudai ni gaidiWatanzania wengi Somalia ni magaidi .Juzi wengine wamekamtwa wakitaka kuvuka mpaka kuelekea Somalia.Pia pale Garissa Kuna gaidi mmoja aliyekuwa na asili ya kitanzania
Hii bomber Kenya waliitoa wap?
Na hayo mabomu yaliangushwa wapi?View attachment 1062284
Sent using my iPhone using jamiiforum app