Pesa kidogo umeshaanza kusema jiwe kafanya makubwaPesa kidogo unaambia watu kuwa utawaingiza barabarani
Hahaha[emoji16][emoji16][emoji16] hiyo Njombe ndanindani naona umekusudia kunichokoa
Pesa kidogo tuu, unaona kuangalia muvi zenye subtitles ni ushamba
Ukweli mtupu.Haha wewe huyo
Pesa kidogo umeanza kuogea shower gelPesa kidogo umetupa mche wa magadi ulionunua gerezani sasa unaogea dettol
pesa kidogo tu, unatuambia tuache kufata mikumbo.Ndio nini sasa..
Watanzania muache kufuata mikumbo!
[emoji23][emoji23]Utalingolo huko[emoji16][emoji16]