Mtoto wa kike kitulize, mwanamke hulka Bibi
Naona unawashwaHajapata dawa huyo, huwezi mkuu ukampitia ile duplicate ya maana akalala vizuri?
Ndio mremboo, njoo pm tuyamalizeNaona unawashwa
Pesa kidogo ukitumiwa meseji hujibuPesa kidogo tu imenitoa mashavu utadhani Nina mabilioni[emoji23][emoji23]
Pesa kidogo tu najiona nani vile sijui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa kidogo ukitumiwa meseji hujibu
Yaani ww umepata pesa kidogo tu , unatuambia tuache kufuata mkumboNdio nini sasa..
Watanzania muache kufuata mikumbo!
Hujalazimishwa kuchangia hii mada.Ndio nini sasa..
Watanzania muache kufuata mikumbo!
Ndio nini sasa..
Watanzania muache kufuata mikumbo!
Wewe msudani umefuata nini huku?Acha ushamba wewe.. Hapo ndio unajiona unaenda na wakaati kuanzisha uzi kama huu, sio?
[emoji16][emoji16][emoji16] hiyo Njombe ndanindani naona umekusudia kunichokoaPesa kidogo unamwita mama ''Mom'', na baba ''Dad'' hata kama ulizaliwa njombe ndanindani na wazazi kingereza hawajui
Kifanya huko...Pesa kidogo unamwita mama ''Mom'', na baba ''Dad'' hata kama ulizaliwa njombe ndanindani na wazazi kingereza hawajui
Utalingolo huko[emoji16][emoji16]Kifanya huko...
Hii niliwah kuiona[emoji16][emoji16][emoji16] pesa kidogo umeacha kusoma biblia ya kiswahili