D dj-sulleh Member Joined Jul 17, 2015 Posts 75 Reaction score 22 Aug 5, 2016 #1 Samahan wapendwa naomba kuuliza hv mtu ukijidhamin mahakaman kwa hela baada ya kesi unarudishiwa helaa au inakuwaje tafadhali naimba nifumbue
Samahan wapendwa naomba kuuliza hv mtu ukijidhamin mahakaman kwa hela baada ya kesi unarudishiwa helaa au inakuwaje tafadhali naimba nifumbue
General Mangi JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 15,303 Reaction score 23,064 Aug 5, 2016 #2 unauchungu na pesa za lissu nini?
J John Ntandu Member Joined Aug 4, 2016 Posts 49 Reaction score 19 Aug 7, 2016 #3 Lazima urudishiwe aidha uonekane na hatia au la. Ila kama utatakiwa kulipa faini ya pesa na uka huna au pungufu basi ile dhamana yako inaweza kuchukua nafasi. Sina uzoefu lkn .nachangia kwa maono yangu.
Lazima urudishiwe aidha uonekane na hatia au la. Ila kama utatakiwa kulipa faini ya pesa na uka huna au pungufu basi ile dhamana yako inaweza kuchukua nafasi. Sina uzoefu lkn .nachangia kwa maono yangu.
A amos stima Member Joined Jul 10, 2016 Posts 64 Reaction score 62 Aug 7, 2016 #4 Kwangu mm ninavyojua mahakaman kuna dhamana ya maneno unamdhamini mtu kwa maneno ili huyu mtu akikimbia ww ndo utalipa hiyo pesa..
Kwangu mm ninavyojua mahakaman kuna dhamana ya maneno unamdhamini mtu kwa maneno ili huyu mtu akikimbia ww ndo utalipa hiyo pesa..
D dj-sulleh Member Joined Jul 17, 2015 Posts 75 Reaction score 22 Aug 8, 2016 Thread starter #5 Ahsanteni kwa kuchangia