Pesa na akili yako ni mapacha

Pesa na akili yako ni mapacha

uvugizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,278
Reaction score
956
Unavyosikia kwamba hela ni wazo ina maana chimbuko lake ni kwenye akili lakini swali kubwa ni akili zetu zina nini?

Hilo ndiyo swali kubwa haswa. Ukiona hela hauwezi kuipata angalia kwanza kwenye akili yako kunanini au umeweka nini. Kama akili yako imejaa matumizi, kula bata (starehe), sahau na Muda si mrefu zitakimbia sababu pesa ni roho.

Angalia sana uhusiano wako na dunia ( mke, mume, rafiki, vitabu, imani yako, ndugu zako, shauku yako). Vina mchango mkubwa sana wa kwenda mbele au kurudi nyuma.

Unaweza kuachana na kutoka kwa mtu mbaya lakini ni ngumu na kama huna neema ya Mungu kutoka katika uhusiano mmbaya.

Uhusiano mbaya inaweza ikawa uzinzi, ulevi, uroho, kusengenya, kuongea sana hata kama huna cha kuongea, kutaka kujua ya wengine hata kama hayakusaidii, kutosaidia watu na pesa zako( to be philanthropist)nk.

Huwezi kumdharau secretary wa boss ukamuheshimu boss, kuna siku utakwama. Pesa na mawazo yako ni mapacha wawili wanatofautiana sekunde au masaaa tu.

Waheshimu watumishi wa Mungu ndipo na Mungu utamuona, pamoja na uchumi wako.

Ayubu 22:21 says " Mjue sana Mungu , ili uwe na amani: ndivyo mema yatakavyokujia.
 
Sio kila mtoa jasho anafanya kazi kuna mwingine anatoa jasho na anachokipata sio anachostahili kukipata katika maisha yake zaidi ya kusukuma siku. Kumbuka Hela haitafutwi kwa nguvu au kwenda Gym kuongeza misuli, hayo ni mazoezi na yana manufaa lakini hakikisha unatunisha misuli ya akili yako mana hapo kuna umuhimu na hapo ukiweza kufanya vizuri unaweza kupata hela unayotaka.

Kila mmoja anaakilli lakini ni lazima utafute maarifa alafu utumie akili yako kutumia maarifa yako kuweza kupata hela.

Hela hazilazimishwi kupatwa ila hela ni lazima utumie kanuni uweze kuzipata.

Kanuni kubwa ni submitting to god , kujinyenyekesha kwa Muumba wako .

Hakuna mtu aliyefanikiwa ambaye hakutawala ulimwengu wa roho ( spiritual realm). Aidha holy or demonically.

Result of success is coming from absolute Mind , ukianza kutilia mashaka chochote utakula matunda yake

Mithali 18;21
 
Sio kila mtoa jasho anafanya kazi kuna mwingine anatoa jasho na anachokipata sio anachostahili kukipata katika maisha yake zaidi ya kusukuma siku. Kumbuka Hela haitafutwi kwa nguvu au kwenda Gym kuongeza misuli, hayo ni mazoezi na yana manufaa lakini hakikisha unatunisha misuli ya akili yako mana hapo kuna umuhimu na hapo ukiweza kufanya vizuri unaweza kupata hela unayotaka.

Kila mmoja anaakilli lakini ni lazima utafute maarifa alafu utumie akili yako kutumia maarifa yako kuweza kupata hela.

Hela hazilazimishwi kupatwa ila hela ni lazima utumie kanuni uweze kuzipata.

Kanuni kubwa ni submitting to god , kujinyenyekesha kwa Muumba wako .

Hakuna mtu aliyefanikiwa ambaye hakutawala ulimwengu wa roho ( spiritual realm). Aidha holy or demonically.

Result of success is coming from absolute Mind , ukianza kutilia mashaka chochote utakula matunda yake

Mithali 18;21
Asante sn kiongoz kwa article nzur
 
Back
Top Bottom