Pesa ndio kila kitu au kuna mengine zaidi ya pesa kwenye mapenzi

Pesa ndio kila kitu au kuna mengine zaidi ya pesa kwenye mapenzi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Yani kuna kajamaa haka sikajui jina ila kana mwanamke ambaye kama ukiwa naye tanzania kwa umbo lake unaweza kufa kwa presha.maana pesa itamchukua haraka kwa njia yoyote.

Jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamke

IMG_0172.jpg
 
yani kuna kajamaa haka sikajui jina ila kana mwanamke ambaye kama ukiwa naye tanzania kwa umbo lake unaweza kufa kwa presha.maana pesa itamchukua haraka kwa njia yoyote.

jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamkeView attachment 1918302
Huyu dada anataka Kiki tu Wala sio pesa wanaimba wote mziki wakiwa na hyu mwanaume anapata Kiki Sana.
 
Yani kuna kajamaa haka sikajui jina ila kana mwanamke ambaye kama ukiwa naye tanzania kwa umbo lake unaweza kufa kwa presha.maana pesa itamchukua haraka kwa njia yoyote.

Jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamke

Apo mzigo anapiga vip mkuu au anaingia mzima mzima uko🤔
 
Yani kuna kajamaa haka sikajui jina ila kana mwanamke ambaye kama ukiwa naye tanzania kwa umbo lake unaweza kufa kwa presha.maana pesa itamchukua haraka kwa njia yoyote.

Jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamke

Hisia ndio kila kitu .,

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Pesa siyo kila kitu but pesa ni muhimu kwenye mahusiano.
 
Mapenzi siyo SoMo ukasome kwakitabu
Penzi halijari masikini waweza penda mtu yeyote
 
Back
Top Bottom