Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Voda wezi totaly mbs zao zinapukutika kama majiMimi mnanikera sana viofa vyenu vya uongo, mfano hiyo ya kwako tu nikajiunga ya 500 mkanipa mb 150 nimefungua wasap sijadownload picha wala video ,nataka kuupdate FB naambiwa MB zimeisha cha ajabu hata hizo 15 mlizonipatia zimeisha maana nilinunua kwa Mpesa, upande wa data mko hovyo sana japo internet yenu siyo mbaya mnajitahidi hata sehemu za ndani mnapatikana,kwa bei na ofa za uongo siyo siri zimenishinda,na hii siyo mara moja,kuna siku mlininunulisha vocha za 20 elf bila kupenda kwa siku moja.
Hiyo laini ilikuaje hata ukanunua na kuuza kwa bei hiyo?? nipe mwanga nielewe plz.Laini yangu ya kwanza nilinunua shilingi 34,500 nikamuuzia jamaa moja 14,000. Duh
Yaan me mama angu tangu enzi za Motorola Mshindi mpaka leo yupo voda, hata ofa ile special hakuna.....Mi toka 2007 natumia Voda hata zawad ya laki moja nikale Bata bad
Weeeeh! una wachekea hao, elfu 50 ziondoke hivi hivi hahahaha me buku 5 tu nilipigia simu nikasema nikija huko ofisin kwenu mtalipa gharama zangu zote hadi muda wangu, baada ya dakika 5 wakatuma, ukiwachekea hawakupi kweli.Voda kwenye utapeli nawapa 100% mnajitahidi kutuibia nimenunua Umeme toka mwezi wa 10 hadi leo hamja nitumia Token elf 50,000 ndio mmeniibia sio?
wakupe zawadi ya fala wao waliyemnyonyaHivi nyie vodacom kwann hamtoi special offer kwa wateja wenu wa muda mrefu?? mfano wenye namba 0754 obviously ni wa zamani kwanini hamjui kuwashukuru wateja wenu kwa kukaa na nyie miaka yote hiyo?? au kuna vigezo gani hua mnavifanya.
hahahaha, kampun kubwa kama hiyo hawawezi kumnyonya mtu, ni kutenga tu fungu basi.wakupe zawadi ya fala wao waliyemnyonya
vodacom, kwanini hamuanzishi huduma ya kulipa kwa mpesa online? kwa mfano, duka mtandao, ninauza vitu vyangu, ninayo website, watu wataviangalia na kuchagua, watalipia kwanza na automatically baada tu ya pesa kuingia kwenye account yangu mtu huyo atapata hiyo huduma. naongelea kama wanavyofanya amazon, alli express etc. yaani, transaction zinavyofanyika mpesa inaungana na account za benki zetu hivyo hamna haja ya kufanya kwa manual kama ilivyo kwa sasa. huduma hiyo ina ugumu gani kwetu au ni sababu gani, hamna uwezo au technologia kama hiyo bado kutokea? thanks.Katika kusherehekea msimu huu wa Sikukuu, kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imewaletea wateja wake na Watanzania kwa ujumla kampeni inayokwenda kwa jina la PESA NI M-PESA. Kupitia kampeni hii wateja watapata zawadi za papo hapo wanapofanya malipo ya huduma au bidhaa kupitia M-Pesa. Malipo kwa njia ya M-Pesa ni salama na rahisi. Unaweza kulipa kutoka mitandao yote na benki ujipatie zawadi za papo hapo.
Kila mtu ni mshindi na M-Pesa. Hakuna makato unapolipa kwa wafanyabiashara waliosajiliwa. Piga *150*00# au tumia M-Pesa App kulipa.
View attachment 650770
Hala vodacom malofa Sana kuna package yao ya pata double.... Nilikuwa najiunga kwa buku mbili napewa double baada YA Wiki kazaa wakapandisha dau natakiwa nijiunge kwa 10000 ndio napewa double. Sasa hvi nimeamia halotel...... Wabinafsi sanaHivi nyie vodacom kwann hamtoi special offer kwa wateja wenu wa muda mrefu?? mfano wenye namba 0754 obviously ni wa zamani kwanini hamjui kuwashukuru wateja wenu kwa kukaa na nyie miaka yote hiyo?? au kuna vigezo gani hua mnavifanya.
Wanawake kila mahali mnataka ofa bar ofa hitelin ofa nyumban ofa vyuoni first class ofa sasa mpaka bundle mnataka za ofa looohHivi nyie vodacom kwann hamtoi special offer kwa wateja wenu wa muda mrefu?? mfano wenye namba 0754 obviously ni wa zamani kwanini hamjui kuwashukuru wateja wenu kwa kukaa na nyie miaka yote hiyo?? au kuna vigezo gani hua mnavifanya.