jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
We ushatoa ofa kwa wateja wako?Na ndio maana nikawauliza voda maana wao ndio wafanya biashara, sasa kama wewe hata genge hujawahi kuuza utajuaje jinsi ya kumkirimu mteja??
Lol.
Heee mwanaume naye anataka vya bure my GOdNyie hamjali wateja mtu Yuko anatumia voda zaidi ya Miaka 10 umnamdanya na vi mb15 kama zawadi .....
Hyo lipa kwa Mpesa upate zawadi ni ulaghai tu
Ova
Nenda vodacom kibo complex pale kuna kitu huwa wanafanya unakuwa poa kuna wakati nilikwa ntajiunga gb1 ndani ya dk 10 inakata na hapo sijazama hata YouTube bado wala Google nikawafataVoda matapeli tu! Unaweka mb alafu wanaziiba wanakwambia zimeisha ndani ya mda kidogo
We jamaa haiko serious kweli umeahindwa kuwapigia au kuwafata Mzeeeee 50 paref sanaVoda kwenye utapeli nawapa 100% mnajitahidi kutuibia nimenunua Umeme toka mwezi wa 10 hadi leo hamja nitumia Token elf 50,000 ndio mmeniibia sio?
Wewe report za upelelezi ushawah ona unapewa wapi hiyo achia wenye kazi yao yeriko anawapotezaKwann mnapindisha ushahid kwa Kuuza namba ya BEN SAANANE wakat mnajua taasisi nyeti Za upelelez bado hazijatoa ripoti yeyote juu ya swala hili majibu tafadhari
Wamekimbia hawana majibu! Thread hii iwasaidie kujirekebisha maana kila mteja analalamika. Siku wakianza kuona wateja wanawahama kwa kasi ndo watajifunza japo wanaweza kuwa wamechelewa maana ukishampoteza mteja kumrudisha ni kaziVoda wamezalai Kwa maswali ya wateja
Mbona mimi sishindi... ? Kila siku ni kuambiwa kete zangu zimepunga..Promosheni bado inaendelea na unaweza kujishindia Mapene kwa kutuma sms yenye neno CHEKI kwenda namba 15544
Block number mkuu hasa ikiwa na app ya .......... Jina limenitoka ile inayoonesha Jina LA mpigaji hata kama hujasave nambaKwanza niwapongeze Vodacom Tanzania kwa kukimbia maswali ya waulizaji walotangulia, mnastahili tuzo kwa hilo[emoji2][emoji2]..
Swali la msingi Nawezaje zuia sms yenu ya PESA NI MPESA, BIKOSPORTS,TATUMZUKA zisiingie kwenye simu yangu?..
Heheheh Dada unabidii ya kudai ofa mmmm wanaume tujipange kwa hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23]Yaan me mama angu tangu enzi za Motorola Mshindi mpaka leo yupo voda, hata ofa ile special hakuna.....
mimi natumia mtandao fulan tangu mwaka 2008 mpk sasa, napewa ofa kibao kwa kua ni mteja wa siku nyingi na wakudumu, hua hadi pesa wananiwekea.
Voda hawajui kabisa kumshukuru mteja, inashangaza.
hizo sms zinakuja bila namba!!..Block number mkuu hasa ikiwa na app ya .......... Jina limenitoka ile inayoonesha Jina LA mpigaji hata kama hujasave namba
HahahahahahaHeheheh Dada unabidii ya kudai ofa mmmm wanaume tujipange kwa hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23]
Hii nayo wanaita ofa etUnalipa kwa M-pesa then wanakupa dk 1 [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nililipa kwa m-pesa thamani ya Tsh 250,000/= lakini nikaambiwa niambatanishepo na gharama za makato tsh 5000 ambayo ndo makato ya kawaida ya kutolea kwa m-pesa na nyie mnasema lipa kwa m-pesa ni bure?????Katika kusherehekea msimu huu wa Sikukuu, kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imewaletea wateja wake na Watanzania kwa ujumla kampeni inayokwenda kwa jina la PESA NI M-PESA. Kupitia kampeni hii wateja watapata zawadi za papo hapo wanapofanya malipo ya huduma au bidhaa kupitia M-Pesa. Malipo kwa njia ya M-Pesa ni salama na rahisi. Unaweza kulipa kutoka mitandao yote na benki ujipatie zawadi za papo hapo.
Kila mtu ni mshindi na M-Pesa. Hakuna makato unapolipa kwa wafanyabiashara waliosajiliwa. Piga *150*00# au tumia M-Pesa App kulipa.
View attachment 650770
Kwa nini Vodacom M-PAWA loan limit yangu haiongezeki?View attachment 650770
Katika kusherehekea msimu huu wa Sikukuu, kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imewaletea wateja wake na Watanzania kwa ujumla kampeni inayokwenda kwa jina la PESA NI M-PESA. Kupitia kampeni hii wateja watapata zawadi za papo hapo wanapofanya malipo ya huduma au bidhaa kupitia M-Pesa. Malipo kwa njia ya M-Pesa ni salama na rahisi. Unaweza kulipa kutoka mitandao yote na benki ujipatie zawadi za papo hapo.
Kila mtu ni mshindi na M-Pesa. Hakuna makato unapolipa kwa wafanyabiashara waliosajiliwa. Piga *150*00# au tumia M-Pesa App kulipa.
Block number mkuu hasa ikiwa na app ya .......... Jina limenitoka ile inayoonesha Jina LA mpigaji hata kama hujasave namba