mkuu uwe unajaribu kutumia A.K.I.L.I hata kiduchu unapotoa hoja kwenye mada kama hizi. Watu wanadai haki zao wew unabwabwaja U.H.A.R.O wako hapa. Inamaana unatetea kitendo cha serikali kuchelewesha haki za msingi za wanafunzi ambazo zimebainishwa wazi kwenye mkataba wao na loan board? Ukifikiria kwa mapana utakuta maisha ya watanzania yanatofautiana baina ya mtu na mtu/familia kwa familia sasa kama wewe unaweza kujikimu usijilinganishe na watoto wa masikini wanaosoma kwa kutegemea mkopo.
Rethink.