nauli utarudishiwa ila uende na ticket yako ya garibasi .. pesa ya kujikimu siku7.. itategemea umepangwa wapi. jijini hupataga iliyozidi na wa halmashauri/vijijini hupungua kidogo.. figure kamili watakuwekea wadau
ninavyosikia pesa ya kujikimu kwa wanaokwenda shule za kijijini walio na degree ni shl 65000Kwa siku na 95000kwa siku kwa wale watakaopangiwa shule za mjini
mmeanza upumbavu wenu ndo mana mnatukanws ovyo we anza kufuatilia kwa seniors kwan we kama mwalimubc umesoma chuo hauna mwalimu mwenzio unaemfaham alliekuzid mwaka ambae ameshaajiriwa mpigie simu umuulize kuliko kuja kuhichoresha huku we unajua fedha za kujikimu kwa alieajiriwa crdb na kwa nn hawaulizi ovyoovyo shtuka