Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Aug 16, 2011 #1 Milioni moja za Zimbwabe = Baiza mia za Oman Inamaana ukiende hoteli ya hali ya juu inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti Na kulipa kwa Visa Card hairuhusiwi kwa hiyo inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti Kila mtu ana ma-bilioni lakini ni masikini Noti moja tu ya Milioni Mia Tano Mfuko wa chakula cha kukauka kwa 50 milioni Khas 5, kwa milioni moja Kuku Milioni 10 Bili ya Dinner (Malipo ya Chakula cha usiku tu) Dola Moja sawa na Noti zote hizi __________________Kuku Mmoja bei gani hapo bongo?
Milioni moja za Zimbwabe = Baiza mia za Oman Inamaana ukiende hoteli ya hali ya juu inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti Na kulipa kwa Visa Card hairuhusiwi kwa hiyo inabidi ubebe mfuko mkubwa wa noti Kila mtu ana ma-bilioni lakini ni masikini Noti moja tu ya Milioni Mia Tano Mfuko wa chakula cha kukauka kwa 50 milioni Khas 5, kwa milioni moja Kuku Milioni 10 Bili ya Dinner (Malipo ya Chakula cha usiku tu) Dola Moja sawa na Noti zote hizi __________________Kuku Mmoja bei gani hapo bongo?
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,368 Aug 16, 2011 #2 Bora wenzutu wanaweza wakawa na sababu je sisi tutajitetea na lipi?
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Aug 16, 2011 #3 Shine said: Bora wenzutu wanaweza wakawa na sababu je sisi tutajitetea na lipi? Click to expand... Tuna weza kujitetea....We have no credible, responsible leadership
Shine said: Bora wenzutu wanaweza wakawa na sababu je sisi tutajitetea na lipi? Click to expand... Tuna weza kujitetea....We have no credible, responsible leadership