ADAM SMITH
Member
- Apr 8, 2014
- 81
- 23
Ukistaajabu ya BUKOBA/KYERA utayaona ya huku kwetu SENGEREMA! Walimu tumelipwa pesa ya kujikimu ya siku tatu tu, ambazo ni sh.90,000+nauli ya kutoka kwenu kwa walimu wa cheti! JE TUTAISHIJE???
Waziri wenu akishakanusha bungeni kuwa mlipwa za siku 3 kwanza alaf mtamaliziwa pale mtapokua mmeripoti na taarifa za kujirizisha ka mpo vituon mwenu mwa kaz zitawafkia kwan watu wamekua wakiziramba na kutokomea.
Nilimsikia akisema Pesa zipo ila tu kama juu hapo nlvyokuelewesha
Mbona halmashauri zingne wamemalziwa pesa ya kujikimu,iweje kwa halmashaur zingne k.v NJOMBE? au mambo ya 10%.
Fundisha kadri unavyolipwa (FUKU) wala usiumize kichwa.
hapa nafundisha ki sela tu,nasubiri hela yangu&n payrow then ndo nchape kazi,otherwise afadhari ya jana.