mtendaji atakutambua kwel?,wanakikundi lazima wawe wa kijiji kimoja ambao mtendaji atasaini kuwa anawafaham
Habari ya majukumu watanzania wenzangu?
Kuna siku niliuliza taratibu za kufuatwa ili kumuona DC wadau humu walinielekeza na leo nimefanikiwa kuonana nae.
Lengo la uzi huu ni kutaka kushare nini kilinipeleka kwa DC na matokeo yake. Ukwel mi ni mhitim wa shahada ya uhasibu lakin nimekuwa najihusisha na ufugaji wa kuku wa asili na kilimo,kama kawaida kilio cha wengi ni mitaji ya kuanza biashara hivyo mimi nilienda kwa DC kupata taarifa ya namna gan yeye mkuu wa wilaya na idara zake za maendeleo wanaweza kuwasaidia vijana kupata mitaji.
Baada ya kumweleza sababu ya mimi kuwa pale ofisin kwake alinipa kimemo nikampe AFISA VIJANA WA WILAYA. Afisa vijana akanitaka nimweleze tena maelezo nliyotoa kwa mkuu wa wilaya na baada ya kumweleza akasema:
"Ni kwel kuna fungu la pesa la kuwawezesha vijana na wanapewa kwa riba ya 10% kwa mwaka".
1. Lazima muwe kundi la vijana 5 - 15.
2. Msajili kikundi chenu
3. Mjishughulishe na kaz yoyote halali ya kimaendeleo.
4. Mpeleke katiba ya kikundi, muhtasi wa kikao, mpango biashara, barua ya kuwatambulisha toka kwa mtendaji wa kijiji/mtaa na sh 5000 ya usajili.
6. mikopo hii haihitaji dhaman yoyote yaan ni free kabisa mambo ya hati ya nyumba/kiwanja,sijui kadi ya gar mara salary slip huku hakuna
Vijana wenzangu TAARIFA NI SILAHA KALI SANA KTK MAPAMBANO KULIKO HATA AK47 hivyo nawashauri nendeni ktk ofisi za maDC mkapate taarifa zaidi.
OMBI LANGU: Nisaidieni katiba yeyote ya kikundi inisaidie kuandaa yetu au jinsi ya kuandika katiba. Pls tuache kulalamika tupambane aiseee.
Binafsi mm nimependa sana taarifa hii. Kweli watu tunahangaika sana na mitaji na jinsi ya kuipata. Asanye sana mkuu kwa uzi huu.Habari ya majukumu watanzania wenzangu?
Kuna siku niliuliza taratibu za kufuatwa ili kumuona DC wadau humu walinielekeza na leo nimefanikiwa kuonana nae.
Lengo la uzi huu ni kutaka kushare nini kilinipeleka kwa DC na matokeo yake. Ukwel mi ni mhitim wa shahada ya uhasibu lakin nimekuwa najihusisha na ufugaji wa kuku wa asili na kilimo,kama kawaida kilio cha wengi ni mitaji ya kuanza biashara hivyo mimi nilienda kwa DC kupata taarifa ya namna gan yeye mkuu wa wilaya na idara zake za maendeleo wanaweza kuwasaidia vijana kupata mitaji.
Baada ya kumweleza sababu ya mimi kuwa pale ofisin kwake alinipa kimemo nikampe AFISA VIJANA WA WILAYA. Afisa vijana akanitaka nimweleze tena maelezo nliyotoa kwa mkuu wa wilaya na baada ya kumweleza akasema:
"Ni kwel kuna fungu la pesa la kuwawezesha vijana na wanapewa kwa riba ya 10% kwa mwaka".
1. Lazima muwe kundi la vijana 5 - 15.
2. Msajili kikundi chenu
3. Mjishughulishe na kaz yoyote halali ya kimaendeleo.
4. Mpeleke katiba ya kikundi, muhtasi wa kikao, mpango biashara, barua ya kuwatambulisha toka kwa mtendaji wa kijiji/mtaa na sh 5000 ya usajili.
6. mikopo hii haihitaji dhaman yoyote yaan ni free kabisa mambo ya hati ya nyumba/kiwanja,sijui kadi ya gar mara salary slip huku hakuna
Vijana wenzangu TAARIFA NI SILAHA KALI SANA KTK MAPAMBANO KULIKO HATA AK47 hivyo nawashauri nendeni ktk ofisi za maDC mkapate taarifa zaidi.
OMBI LANGU: Nisaidieni katiba yeyote ya kikundi inisaidie kuandaa yetu au jinsi ya kuandika katiba. Pls tuache kulalamika tupambane aiseee.
mkuu mi nadhan kupata members si tatizo kbs yaan from std one to university umesoma na watu huwez pata watu 4 ambao ni commited?, mfano kijijin kwetu digrii level tupo zaid ya 60 siwez pata hapo people 4 tutengeneze kundi? pia ni vizur mkafanya pamoja msigawane fedhahizo taarifa ni nzuri ila zilikuwepo mda mrefu tu, mi nilishaenda pale temeke wilayani kuulizia!
tatizo kubwa ni kiwapata hao vijana wenye nia ya dhati kabisa na wasio waoga! hiyo ndo changamoto kuu kabisa! yaan akishindwa mmoja kurejesha lazima member wengine wamchangie au hata akifilisika utaratibu ni huohuo!
mimi nilihangaika kuwapata vijana nikaishia kupata mmoja tu! pia Kuna sharti gumu hapo mpaka vijana wote muwe ndani ya kata moja au mtaa, sasa na huo ni mtihani! pia mara nyingi inatakiwa muwe tiyari na biashara inayojiendesha au kila member awe na biashara hata kama ni kuuza mandazi tu! sasa kiukweli kuna mtihani kupata member wote watano wa kukidhi hivyo vigezo! binafsi nilifikia hatua nikashindwa Mkuu!
ila jitahidi sana pesa zinakuwepo ila vigezo ndo mtihani
Unamwamini mwanasiasa??mi nasubiri zile hamsini za baba mkubwa
Mtumbua jibu nae jipu...--->>LAITI KAMA SIO UJASIRI WA KUCHOKONOA TAARIFA MNGEPATA WAPI?/
•KWA NINI ENDAPO FEDHA HIZI ZIPO HAZITANGAZWI "HADHARANI"?
•LENGO LA USIRI HUU NI NINI?
•MKUU WA MKOA TANGAZENI / MAGUFULI ASIJE SIKIA AKACHUKIA BUREE?/
mkuu tatizo sio kupata watu,inatakiwa wawe ndani ya kata au mji mmoja na biashara zao ziwe maeneo hayo! kumbuka mnatakiwa kusajiliwa na Afisa Mtendaji! pia vijana wengi wanaogopa mikopo balaa nimelikutana hilo!mkuu mi nadhan kupata members si tatizo kbs yaan from std one to university umesoma na watu huwez pata watu 4 ambao ni commited?, mfano kijijin kwetu digrii level tupo zaid ya 60 siwez pata hapo people 4 tutengeneze kundi? pia ni vizur mkafanya pamoja msigawane fedha
Naombeni na mm hiyo semper ya katibaJambo jema sana, I'm inspired.
Wacha waje kutupa sample ya katiba.
Kuwapata pia inaweza isiwe shida..ila utakaowapata wako Committed kiasi gani halafu...hao maGRADUET sio watu wakuwaamini sababu walikuwa wanaishi maisha yakufikirika Nyakati za BOOM akipata hiyo HELA atataka akonge NYOYO kukumbuka enzi ya BOOM..halafu hata kama zitapatikana kwa MTU mwenye malengo makubwa hazitoshi....Mtaambiwa kwakuanzia mtapewa kila mwanakikundi Laki 1utatoka LINI?mkuu mi nadhan kupata members si tatizo kbs yaan from std one to university umesoma na watu huwez pata watu 4 ambao ni commited?, mfano kijijin kwetu digrii level tupo zaid ya 60 siwez pata hapo people 4 tutengeneze kundi? pia ni vizur mkafanya pamoja msigawane fedha
Buku hamsini nakutengenezea katibaHabari ya majukumu watanzania wenzangu?
Kuna siku niliuliza taratibu za kufuatwa ili kumuona DC wadau humu walinielekeza na leo nimefanikiwa kuonana nae.
Lengo la uzi huu ni kutaka kushare nini kilinipeleka kwa DC na matokeo yake. Ukwel mi ni mhitim wa shahada ya uhasibu lakin nimekuwa najihusisha na ufugaji wa kuku wa asili na kilimo,kama kawaida kilio cha wengi ni mitaji ya kuanza biashara hivyo mimi nilienda kwa DC kupata taarifa ya namna gan yeye mkuu wa wilaya na idara zake za maendeleo wanaweza kuwasaidia vijana kupata mitaji.
Baada ya kumweleza sababu ya mimi kuwa pale ofisin kwake alinipa kimemo nikampe AFISA VIJANA WA WILAYA. Afisa vijana akanitaka nimweleze tena maelezo nliyotoa kwa mkuu wa wilaya na baada ya kumweleza akasema:
"Ni kwel kuna fungu la pesa la kuwawezesha vijana na wanapewa kwa riba ya 10% kwa mwaka".
1. Lazima muwe kundi la vijana 5 - 15.
2. Msajili kikundi chenu
3. Mjishughulishe na kaz yoyote halali ya kimaendeleo.
4. Mpeleke katiba ya kikundi, muhtasi wa kikao, mpango biashara, barua ya kuwatambulisha toka kwa mtendaji wa kijiji/mtaa na sh 5000 ya usajili.
6. mikopo hii haihitaji dhaman yoyote yaan ni free kabisa mambo ya hati ya nyumba/kiwanja,sijui kadi ya gar mara salary slip huku hakuna
Vijana wenzangu TAARIFA NI SILAHA KALI SANA KTK MAPAMBANO KULIKO HATA AK47 hivyo nawashauri nendeni ktk ofisi za maDC mkapate taarifa zaidi.
OMBI LANGU: Nisaidieni katiba yeyote ya kikundi inisaidie kuandaa yetu au jinsi ya kuandika katiba. Pls tuache kulalamika tupambane aiseee.