Pesa za Motisha za Silent Ocean kwa Tanzania Prisons zina Faida gani kama mpaka sasa inashika nafasi ya 11 NBC Premier League?

Pesa za Motisha za Silent Ocean kwa Tanzania Prisons zina Faida gani kama mpaka sasa inashika nafasi ya 11 NBC Premier League?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na nijiavyo Mfanyabiashara na Tajiri mwenye Akili Timamu hupenda Kufadhili Vilabu ambavyo vinafanya vyema, vinatangazika vyema na viko katika Nafasi nzuri Kimsimamo?

Ukiona mahala popote pale Mfanyabiashara au Tajiri yoyote Yule anajihusisha na Kuidhamini Klabu ambayo haiko hata katika ama 10 Bora au 5 Bora ya Msimamo wa Ligi Kuu yoyote ile Duniani jua hana Akili sawa sawa halafu ni Mnafiki na ana lake jambo na huenda hata huo Udhamini wake katika hiyo Klabu kuna baya lililojificha ambalo hata Mamlaka za Uchaguzi zinapaswa Kuchunguza na Kumchunguza upesi sana.

Bora niwe Masikini Mwerevu kulikoni kuwa Tajiri Mpumbavu, Mshamba na Mnafiki katika Jamii niliyoko kwani huenda Uwerevu wangu ukawa Msaada mkubwa Kwake na akabadilika.
 
Ni ulimbukeni tu na kutaka umaarufu kwa nguvu hana lolote alikuwa wapi tangu ligi inaanza yani anawapa ahadi ya pesa kwenye mechi mbili tu Prison na simba au prison na wacheza xx (yanga)
 
Na nijiavyo Mfanyabiashara na Tajiri mwenye Akili Timamu hupenda Kufadhili Vilabu ambavyo vinafanya vyema, vinatangazika vyema na viko katika Nafasi nzuri Kimsimamo?

Ukiona mahala popote pale Mfanyabiashara au Tajiri yoyote Yule anajihusisha na Kuidhamini Klabu ambayo haiko hata katika ama 10 Bora au 5 Bora ya Msimamo wa Ligi Kuu yoyote ile Duniani jua hana Akili sawa sawa halafu ni Mnafiki na ana lake jambo na huenda hata huo Udhamini wake katika hiyo Klabu kuna baya lililojificha ambalo hata Mamlaka za Uchaguzi zinapaswa Kuchunguza na Kumchunguza upesi sana.

Bora niwe Masikini Mwerevu kulikoni kuwa Tajiri Mpumbavu, Mshamba na Mnafiki katika Jamii niliyoko kwani huenda Uwerevu wangu ukawa Msaada mkubwa Kwake na akabadilika.
Bila hizo pengine wangeshika mkia
 
Na nijiavyo Mfanyabiashara na Tajiri mwenye Akili Timamu hupenda Kufadhili Vilabu ambavyo vinafanya vyema, vinatangazika vyema na viko katika Nafasi nzuri Kimsimamo?

Ukiona mahala popote pale Mfanyabiashara au Tajiri yoyote Yule anajihusisha na Kuidhamini Klabu ambayo haiko hata katika ama 10 Bora au 5 Bora ya Msimamo wa Ligi Kuu yoyote ile Duniani jua hana Akili sawa sawa halafu ni Mnafiki na ana lake jambo na huenda hata huo Udhamini wake katika hiyo Klabu kuna baya lililojificha ambalo hata Mamlaka za Uchaguzi zinapaswa Kuchunguza na Kumchunguza upesi sana.

Bora niwe Masikini Mwerevu kulikoni kuwa Tajiri Mpumbavu, Mshamba na Mnafiki katika Jamii niliyoko kwani huenda Uwerevu wangu ukawa Msaada mkubwa Kwake na akabadilika.
Tunataka kum frustrate Mwamedi hadi arudishe Simba kwa wenye nayo
 
Na nijiavyo Mfanyabiashara na Tajiri mwenye Akili Timamu hupenda Kufadhili Vilabu ambavyo vinafanya vyema, vinatangazika vyema na viko katika Nafasi nzuri Kimsimamo?

Ukiona mahala popote pale Mfanyabiashara au Tajiri yoyote Yule anajihusisha na Kuidhamini Klabu ambayo haiko hata katika ama 10 Bora au 5 Bora ya Msimamo wa Ligi Kuu yoyote ile Duniani jua hana Akili sawa sawa halafu ni Mnafiki na ana lake jambo na huenda hata huo Udhamini wake katika hiyo Klabu kuna baya lililojificha ambalo hata Mamlaka za Uchaguzi zinapaswa Kuchunguza na Kumchunguza upesi sana.

Bora niwe Masikini Mwerevu kulikoni kuwa Tajiri Mpumbavu, Mshamba na Mnafiki katika Jamii niliyoko kwani huenda Uwerevu wangu ukawa Msaada mkubwa Kwake na akabadilika.

Hapa umepuyanga vibaya na huenda ww ndo hujamuelewa target yake ya kuaamua kuwazamin Wajela jela......
Yeye yupo si ana dili na baharini anawahitaji sana watu wa Mbeya, Ruvuma, Katavi, Rukwa, Songwe kujenga/kupanua wigo wa kibiashara..
 
Mbona mo aliahidi boda boda kwa wachezaji wa simba wakimfunga yanga? Au hilo hulioni umekalia umbeya na chuki tu
 
Kwamba pale epl kampuni zilizodhamini timu chini ya kumi Bora ni mazwazwa
 
Kwa hili mkuu umeongea point mno kwasababu anayefanya vizuri ndiye anayepaswa kupewa hiyo bakhshishi.

Inawapa motisha ,hamasa na chachu ya mpira, natamani siku kuiona Namungo ama KMC ikitwaa ubingwa mbele ya vilabu hivi vikongwe
 
Back
Top Bottom