Elections 2010 pesa zitakazo tumika kuendesha kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi

Elections 2010 pesa zitakazo tumika kuendesha kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
659
ccm inatupatia hasara sana kwenye taifa letu kwa sababu bilion 2 ni pesa ambazo zingeweza saidia wananchi hata kwa kuwajengea zahanati au mashule lakini hizo pesa zinapewa mahakama kuu kuendeshea kesi ambazo wamezisababisha ccm kwa uchakachuaji wa kura za waliokuwa wameshinda
 
Back
Top Bottom