Pestana Pub- Dodoma

Mi nimefurahia hiyo lugha ya Malkia mkuu...damn!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimeipenda hiyo misamiati ya kizungu. Ila nimeelewa kabisa kabisa story yake. anasema kuna pub hapo Dodoma ni nzuri sana, aliona hata wabunge na viongozi wengine wa serikali wanakula hapo pamoja na madreva wa magari ya mizigo. Halafu kuna wadada walilewa wakaanza kupigana hadharani, polisi wakawasomba, mmoja akang'atwa mgongoni na polisi kwa kuwa alikuwa ana kaidi kwenda kituoni, ikabidi polisi atumie risonabo pawa.....
(Raha sana mtu ukiwa unajua ki english thread kama hii unaisoma tu na kuelewa haraka bila shida yoyote)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hebu niache huko unanitakia nn mm?

Mwisho wa mwezi nikupeleke Pizzeria ukale pizza .
Nipo bibi hapa Pestana....[emoji12] [emoji12]
Mimi ndio meneja wa hapa, upande wa misosi..tehteehh
Alafu mimi ndie yule masai tulie potezana na mdada wa humu jf..tehteehh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…