Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Labda lowlife women!! a.k.a gold diggers!!Poor analysis
Kwaupande wangu nikikuona na pete ndio hata hadith na wewe kwa sana staki, mashaka hayo wanayo wenye akili fupi
kwani pete ya harusi ndio inayofanya mtu awe salama au mtiifu,inatakiwa mwenye pete ya harusi awe na adabu zake lakini wengine ndio wanaifanya chambo....
Sidanganyiki ng'ooo...labda kwa gold diggers
Je kwa wanawake wenye/wasio na pete (za ndoa) nao inakuwaje?
Kwa kawaida, Pete inatakiwa kutumika kuonyesha kuwa someone is married and not available. Ki-imani, pete (yamini) hutumika kama ushahidi na kiapo cha uaminifu kwa wanandoa na kila mwanandoa anapotembea anapaswa kukumbuka kiapo hicho kwa mwenzake thru hiyo pete na ndiyo maana ideally inatakiwa kuvaliwa wakati wote.
Kwa sasa inawezekana watu wanamatumizi mengine ya pete na inawezekana pia baadhi ya wadada wasio na ufahamu wa kutosha na huruma huwapenda married men kwa sababu za kutaka hela za haraka haraka na kuogopa kubanwa na kunyimwa uhuru wa kujirusha na wengine pia. Hii ni kasumba mbaya inayovuruga na kudondosha ndoa nyingi na inapaswa kupingwa na kulaaniwa na kila mwenye nia njema.
Thnx
Poor analysis
hiyo inaweza ikawa kwel
Labda lowlife women!! a.k.a gold diggers!!
Labda lowlife women!! a.k.a gold diggers!!
Labda lowlife women!! a.k.a gold diggers!!
Na ndio target ya watu kama hao.
A respectable marriaed woman can not fall for such a cheap prey.
Kuna mantiki ndani yake MKUU.
Vipindi kama vile vinazungumzia events and not ideas.