Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
hahaha usijidanganye watu wanagaramia na wanalea watoto wa watu pia
Kama hatuwezi kukujengea Mnara basi hata upelekwe Ikulu kula chakula cha mchana na Makamu wa Rais.Hongera sana,ila jitahidi usitumie gharama sana mwenye masuala hayo,utaja umia baadae kama huna uvumilivu.Wanawake hatukumbukagi gharama mlizotumia tukiolewa.(Just keep in your mind what i tell u,pleasee)
Kuna somebody kanunuliwa 11 pro max and I know she’s cheating dunia hii
Asante mkuuKama hatuwezi kukujengea Mnara basi hata upelekwe Ikulu kula chakula cha mchana na Makamu wa Rais.