Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Hapo inawezekana formation wana tofautiana mwingine total football wengine 442 hawawezi kuwa sawa.nadhani kuna kitu inabidi ajifunze kwa Wastara,
Wastara huwa hatuoni pete lkn huwa tunaskia kaolewa au kaachika,namkubali sana wastara
unamkubali kwa kutoona pete ama kuolewa na kuachika?nadhani kuna kitu inabidi ajifunze kwa Wastara,
Wastara huwa hatuoni pete lkn huwa tunaskia kaolewa au kaachika,namkubali sana wastara
sana sana kwenye kuolewaunamkubali kwa kutoona pete ama kuolewa na kuachika?
Kinara wa kuolewa Na kuachikaunamkubali kwa kutoona pete ama kuolewa na kuachika?
Kuna mmoja huku kitaani kavalishwa pete gesti ila hizo mbwembwe zake sasa..Watu wanakomaPete unavalishwa kichochoroni mpo wawili akijitahidi ataleta na walevi wenzie wawili na unaita ni ahadi ya ndoa???
Haya mapenzi ya Harmonise na Wolper naona yamekaa kishamba..Atavalishwa pete hadi vidole viote sugu
Sept 2015View attachment 350394
May 22View attachment 350395
Dogo anabemendwa
hahahahahaaKuna mmoja huku kitaani kavalishwa pete gesti ila hizo mbwembwe zake sasa..Watu wanakoma
Sijui hata kama wanapima aisee..hihihiii kakolea sio? na wanapimaga kweli au hawa madogo wanaamua kujitroa akili wanawake wenyewe wanatiana hadi na mashetani
Hakuna kupima hapo wewwhihihiii kakolea sio? na wanapimaga kweli au hawa madogo wanaamua kujitroa akili wanawake wenyewe wanatiana hadi na mashetani
hahahaha baada ya muda utaskia walikubwa na matatizo ya kifuaHakuna kupima hapo weww
Na kenyewe katangoja kama wolper tehKuna mmoja huku kitaani kavalishwa pete gesti ila hizo mbwembwe zake sasa..Watu wanakoma