japo siyo ya kuchekesha lakin imenichekesha na kunishangaza kwa wakati mmoja.....hapa tz tangu lini mwanaume akavishwa pete ya uchumba na mwanamke??,,mwanaume kuvishwa pete ya uchumba kunanifanya nikubaliane na elia kuwa huyo mwanaume basi anaenda kuolewa yeye.
huyo kijana kabla hajavishwa pete ya uchumba ahakikishe anajua anapata kufahamu nini maana ya pete ya uchumba na hasa kwa tafsiri ya hapa tz.
vijana jitahidini kujua kila maana ya jambo unalotaka kufanya ili usije kuingia kwenye mkasa kama huu wa kuvishwa pete ya uchumba na mwanamke....lakin pia nalazimika kuamini kuwa nyuma ya pazia huyo binti ana sababu inayomsukuma kumvisha pete mchumba wake huyo.....nijuavyo mimi kila jambo lifanyikalo au litokelo huwa lina sababu yake...