Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 483
- 186
Mimi ninaamini kwamba lengo la pete za ndoa ni kuonyesha kwamba huyu mtu (Mwanamke au Mwanaume) ameoa ama ameolewa. Kinacho nishangaza na nimeshuudia hawa jamaa wenye pete wana mahusiano nje ya ndoa na mkononi ana pete kubwaaaaaaaa sasa je wahusika wanapokuwa wana anza haya mahusiano uzi tupa kando then wakifanikiwa wanazivaa? Je dada zetu na kaka zetu wana watamani watu walio ndani ya ndoa? au ni fashion? who is to blame?