Cha ajabu hapo nini sasa? Kwani wewe unapopanda daladala wakati umeona imejaaa! Huwa akili na macho unaviweka kando? This is bcoz common sense is not always common to all
Nilimsikia mmoja anasema wenye pete/Ndoa ndio wazuri kishenzi kufanya nao uzinzi.
Kama ni mwanaume hatokuwa msumbufu kumfuatilia na kumdhibiti sana mrembo, maana ana kwake!
Kama ni mwanamke basi atatekeleza kila unalomwomba au kumfanyia, maana anahofia akikataa unaweza kumsemelea na kumvurugia!... ha ha haaa!
Sifahamu ukweli wa hayo!
Cha ajabu hapo nini sasa? Kwani wewe unapopanda daladala wakati umeona imejaaa! Huwa akili na macho unaviweka kando? This is bcoz common sense is not always common to all
Na wakikutana na pete za ndoa wote mkononi watu hudhani wameoana kumbe wote wezi mweeeeeNilimsikia mmoja anasema wenye pete/Ndoa ndio wazuri kishenzi kufanya nao uzinzi.
Kama ni mwanaume hatokuwa msumbufu kumfuatilia na kumdhibiti sana mrembo, maana ana kwake!
Kama ni mwanamke basi atatekeleza kila unalomwomba au kumfanyia, maana anahofia akikataa unaweza kumsemelea na kumvurugia!... ha ha haaa!
Sifahamu ukweli wa hayo!
Wewe humo G/H unafata nini na wakati hujaoa na una kwako? kwa nini usianze kuwa mwaminifu kipindi hiki ili ukiingia ndoani inabaki kutekeleza tu?Hili swali limenigusa sana huwa naangalia watu na kuwashangaa sana unakuta mtu na mpete wake huyoo G/H tena bila hata soni machoni mwake.
Mara nyingi mie husema kama mtu hujakuwa tayari kuoa na usioe. Yaanini kujipa tabu na kuumiza mwenzi wako
Nilimsikia mmoja anasema wenye pete/Ndoa ndio wazuri kishenzi kufanya nao uzinzi.
Kama ni mwanaume hatokuwa msumbufu kumfuatilia na kumdhibiti sana mrembo, maana ana kwake!
Kama ni mwanamke basi atatekeleza kila unalomwomba au kumfanyia, maana anahofia akikataa unaweza kumsemelea na kumvurugia!... ha ha haaa!
Sifahamu ukweli wa hayo!
Mimi ninaamini kwamba lengo la pete za ndoa ni kuonyesha kwamba huyu mtu (Mwanamke au Mwanaume) ameoa ama ameolewa. Kinacho nishangaza na nimeshuudia hawa jamaa wenye pete wana mahusiano nje ya ndoa na mkononi ana pete kubwaaaaaaaa sasa je wahusika wanapokuwa wana anza haya mahusiano uzi tupa kando then wakifanikiwa wanazivaa? Je dada zetu na kaka zetu wana watamani watu walio ndani ya ndoa? au ni fashion? who is to blame?
Nilimsikia mmoja anasema wenye pete/Ndoa ndio wazuri kishenzi kufanya nao uzinzi.
Kama ni mwanaume hatokuwa msumbufu kumfuatilia na kumdhibiti sana mrembo, maana ana kwake!
Kama ni mwanamke basi atatekeleza kila unalomwomba au kumfanyia, maana anahofia akikataa unaweza kumsemelea na kumvurugia!... ha ha haaa!
Sifahamu ukweli wa hayo!
Wewe humo G/H unafata nini na wakati hujaoa na una kwako? kwa nini usianze kuwa mwaminifu kipindi hiki ili ukiingia ndoani inabaki kutekeleza tu?
Wewe humo G/H unafata nini na wakati hujaoa na una kwako? kwa nini usianze kuwa mwaminifu kipindi hiki ili ukiingia ndoani inabaki kutekeleza tu?
Leading post kwenye hii thread, kwa kweli kama hujaivaa moyoni hata kidoleni ni kama gamba tupete halis ya ndoa huwa iko moyoni mwa mtu na si kidoleni.........
hapo umenena Gaga
wala hujakosea ndivyo wanavyosema siku hizi....
mi nakumbia zamani ukiona mtu anapete unamuogapa kabisa na yeye kama ilikuwa
anataka kufanya uchafu pete kama inamsuta hiv.
siku hizi pete ni fashion...... ndoa si pete jamani
.