Peter Bosz kutupiwa virago vyake Borussia Dortmund

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni suala la muda tu kwa sasa ndio linalosubiriwa , hakika Dortmund iliruka mkojo na kukanyaga kinyesi !

Imekuja kubainika kwamba Huyu ni kocha mbovu asiye na mbinu wala mipango yoyote ile ya kuikwamua timu wala kupata mataji yoyote , Borussia ni timu iliyojiwekea heshima kubwa sana kwenye michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , lakini leo ni mdebwedo kuliko hata Kikwajuni ya Zanzibar , imetolewa mapema sana .

Mpaka juzi baada ya kufungwa nyumbani na vibonde Werder Bremen , ilikuwa ni mechi ya 8 mfululizo kupoteza pointi .

Hakuna haja ya kuwa na kocha kimeo namna hii .
 
Confirmed - Borussia Dortmund sacked Peter Bosz .
 
Huyu kocha alianza kwa Utamu sana sijui nn kimemkuta wachezaji wamemgeuka,kaishiwa mbinu sijui akiwa Ajax pia alikua vema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…