Uchaguzi 2020 Peter Lijualikali achukua fomu kutetea jimbo Kilombero

Uchaguzi 2020 Peter Lijualikali achukua fomu kutetea jimbo Kilombero

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Mbunge wa jimbo la Kilombero ambaye amehama chama cha CHADEMA na kujiunga Chama cha Mapinduzi (CCM) Peter Lijualikali mapema leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kugombea jimbo hilo kwa mara nyingine kipitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Lijualikali.JPG
 
CCM haiwezi kumpitisha huyu mropokaji asie piga mswaki. Maana kama alilelewa na Chadema muda mrefu lakini akaja kuropoka kiasi hicho je? Siku atakapo nunuliwa tena na chama kingine si ataropoka tena kuhusu Ccm?
 
Ameshapita,agizo toka juu ni kwamba asitokee mwanaccm yoyote kuchukua form mahali alipo Mbunge au diwani aliyenunuliwa toka Chadema.

Aisee, basi ni raha sana.

Kwa hiyo anajiandaa kupambana na upinzani tu hapo.

Kuna msemo nimeuona humu, eti ukiona baba anarithisha mali watoto wa jirani, watoto mjijue kabisa nyie hamna akili, mtatapanya mali.
 
Back
Top Bottom