Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Anajinyongaje ndani ya kituo cha polisi?
Wewe kuwaamini mimi sitaki hata kuwaona wanatesa sn watu na ni makatili kupita kiasi bora ya majambaziBinafsi niwe tu mkweli. Sijawahi kuwaamini polisi kwa chochote kile. Halafu pia ninahisi damu yao na ya kwangu, haziendani eti!!!