Peter Msechu I doubt the originality of your song (hasira hasara)!

oh, naona wewe ni mbishi! Nikupe issue nyingine, sikiliza wimbo wa TID nyota yako ndio utanielewa nina maanisha nini. wasanii wabongo ni wizi mtupu!!

TID NAE NI MWIZI WA KAZI ZA WATU?
 
kama wake au si wake tatizo nini????????
mbongo kafanya vizuri na haikuwa lazima uwe na wimbo wako mwenyewe na uchukue wimbo uchakachue
 
Kuhusu kuchakachua wimbo hilo sina uhakika ila namuona huyu jamaa kama mropokaji sana sijui hana washauri! maana angekuwa nao wangemwambia nini cha kujibu na kutojibu pale anapozungumza na vyombo vya habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…