Peter Msechu kafanana na Tundu Lissu

Ni kweli mkuu, Kingwendu pia kafanana sana na Obama au macho yangu yamenidanganya?
 
hahahahaha wote wana fanana hadi matumbo kama madiaba
 
Dunia hii unaweza ikaishi ukafananishwa na vitu vya ajabu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…