Hahaha..umekosea..Lemutuz kafanana na gigy moneyHata Le Mutuz kafanana Sana Denzel Washington
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio Nick MinajHahaha..umekosea..Lemutuz kafanana na gigy money
Ungetuwekea sura zao thread yako ingependeza sanaSijui ni macho yangu tuu,ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipus Lisu
Utaacha le mutuz atangaze kuwa huyo ni ndugu yakeHata Le Mutuz kafanana Sana Denzel Washington
Keshastaafu hana makali tenaMshana mshana unantaftia kesi mie bora um cc shetta peke ake lol
🙂Ungetuwekea sura zao thread yako ingependeza sana
Mkuu,kila kona mnayokatza upo!!Yani hadi macho moja dogo moja kubwa hadi meno yamefanana mmmh
Nipo au tupo?Mkuu,kila kona mnayokatza upo!!
Sijui ni macho yangu tuu, ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipas Lissu.
Je wana undugu wowote?
Wasechu ni waparesawa ni mchaga lakini si anatoka kigoma?