Pre GE2025 Peter Msigwa afichua madudu ya CHADEMA: Chama kimekuwa kama SACCOS, Mbowe anakimbiwa na kila mtu

Pre GE2025 Peter Msigwa afichua madudu ya CHADEMA: Chama kimekuwa kama SACCOS, Mbowe anakimbiwa na kila mtu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Habari zenu wanabodi,

Kwenye mahojiano na Chief Odembo kwenye kipindi cha Medani Za Siasa, Mch. Peter Msigwa amezidi kutupia mawe Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Msigwa kwenye mahojiano hayo alifananisha CHADEMA na SACCOS kutokana na namna ambavyo chama hicho kinaongozwa kama biashara,

"Nimeshazungumza sana hata kwenye vikao vyangu kwamba CHADEMA imekuwa kama SACCOS, imekuwa ni mali ya mtu. Nilishawauliza sana kwenye chama kwamba CHADEMA digital ni mali ya nani. ? Hela za CHADEMA digital zinaenda kwa nani, ni mali ya nani ?

Join the chain. Wakati huu ukiangalia tunakusanya hela za join the chain, kuna namba nyingine ya mtu binafsi iliwekwa. Hela badala ya kuingia kwenye chama zikawa zinaingia kwa mtu binafsi

Kuhusu Mbowe, Peter Msigwa alisema:

Mbowe anakimbiwa na kila mtu, watu wote wenye akili wanamkimbia Mbowe. Anabaki na watu chawa. Wameondoka wakina Zitto, wameondoka wakina Kitila, wameondoka wakina Safari , wakina Marcos, wakina Kitila sasa hivi tumeondoka. Wakina Cecil Mwambe wameondoka. Wakina Silinde wameondoka, wakina Jualikali wameondoka.

Soma pia:
- Kuelekea 2025 - Yaliyojiri kwenye mahojiano kati ya Chief Odemba na Peter Msigwa kwenye kipindi cha Medani za Siasa

Mchungaji Msigwa: Mbowe Mwenyekiti uliyekaa sana Madarakani tukutane Mahakamani
 
Ila angaupata u wenyekiti CHADEMA kanda ya nyasa hizo sababu zoote anazozisema sasa zisingekuwepo eti...mchungaji tapeli!!.
 
Habari zenu wanabodi,

Kwenye mahojiano na Chief Odembo kwenye kipindi cha Medani Za Siasa, Mch. Peter Msigwa amezidi kutupia mawe Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Msigwa kwenye mahojiano hayo alifananisha CHADEMA na SACCOS kutokana na namna ambavyo chama hicho kinaongozwa kama biashara,





Kuhusu Mbowe, Peter Msigwa alisema:



Soma pia: Mchungaji Msigwa: Mbowe Mwenyekiti uliyekaa sana Madarakani tukutane Mahakamani
Mbowe anakimbiwa na kila mtu, watu wote wenye akili wanamkimbia Mbowe. Anabaki na watu chawa. Wameondoka wakina Zitto, wameondoka wakina Kitila, wameondoka wakina Safari , wakina Marcos, wakina Kitila sasa hivi tumeondoka. Wakina Cecil Mwambe wameondoka. Wakina Silinde wameondoka, wakina Jualikali wameondoka.😂😂😂😂😂
Kwahiyo hawa ndio wenye akili?
 
Habari zenu wanabodi,

Kwenye mahojiano na Chief Odembo kwenye kipindi cha Medani Za Siasa, Mch. Peter Msigwa amezidi kutupia mawe Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Msigwa kwenye mahojiano hayo alifananisha CHADEMA na SACCOS kutokana na namna ambavyo chama hicho kinaongozwa kama biashara,





Kuhusu Mbowe, Peter Msigwa alisema:



Soma pia: Mchungaji Msigwa: Mbowe Mwenyekiti uliyekaa sana Madarakani tukutane Mahakamani
Mbowe anakimbiwa na kila mtu, watu wote wenye akili wanamkimbia Mbowe. Anabaki na watu chawa. Wameondoka wakina Zitto, wameondoka wakina Kitila, wameondoka wakina Safari , wakina Marcos, wakina Kitila sasa hivi tumeondoka. Wakina Cecil Mwambe wameondoka. Wakina Silinde wameondoka, wakina Jualikali wameondoka.😂😂😂😂😂
Kwahiyo hawa ndio wenye akili?
Hakuna bnafamu asisbadilika
Je hayo mabadiliko ni chanya ama ni hasi?
 
Habari zenu wanabodi,

Kwenye mahojiano na Chief Odembo kwenye kipindi cha Medani Za Siasa, Mch. Peter Msigwa amezidi kutupia mawe Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Msigwa kwenye mahojiano hayo alifananisha CHADEMA na SACCOS kutokana na namna ambavyo chama hicho kinaongozwa kama biashara,





Kuhusu Mbowe, Peter Msigwa alisema:



Soma pia: Mchungaji Msigwa: Mbowe Mwenyekiti uliyekaa sana Madarakani tukutane Mahakamani
Msigwa! Huyo Zitto amekimbia baada ya wewe kuikimbia Chadema? Inawezekana ni laana umeipata kwa kwenda kinyume na viapo vya uchungaji vinavyosema " msamehe adui yako", baafa ya kutoka Chadema ulitakiwa umpotezee Mbowe na Chadema.
 
Simple tu, chadema inahitaji reform, hakuna namna, imepoteza mwelekeo, inajikiuka kuanzia kwenye katiba yake binafsi, upo msemo katika biblia, "Toa kibanzi kwenye jicho lako kwanza, ndipo unyooshee kidole wengine"
-Hata Bw. Lissu analifahamu hili.
-CCM Tunawapenda sana chadema.
 
Mbowe ameshakuwa Statesman mzuri na amefanya Mazuri tu Chamani, Sasa ni wakati sahihi apishe Mtu mwingine Kuongoza Chama mana Kwa kungangania Uko kutamchafua Uko mbeleni na ataondoka kwa Aibu, The best dancer knows when to leave the stage
 
Back
Top Bottom