Pre GE2025 Peter Msigwa alipokuwa TLP hakuwa anaitwa Mchungaji ila alivyoingia Chadema ndio wakaanza kumuita mchungaji Ili kumpamba, sasa anawakomesha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ana mkomesha nani?
kwamba uchungaji wake una muongezea chochote kwenye siasa?!

naikumbuka ile clip ya sauti .... akimwambia mdada kuwa akija dom.. anataka yeye tu ndiyo awe ana fanya naye mapenzi yule dada.. ( sasa yeye aliongea kwa maneno yake halisi)
 
Anayejua aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini ni mchungaji wa Kanisa gani anijulishe

Nimekaa pale πŸ˜ƒπŸ”₯
Huyo tumbili dossier yake iko tayari hatua kwa hatua hadi anapokea hela toka kwa Abdul anawafanya nyie maccm uchwara wajinga mnamshabikia mwenzenu kavu B nzima.
 
Tabia za kimalayamalaya huyu pasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…