meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Yaani anaichukulia Tanzania poa sana...Ametangaza nia tu mnaweweseka,,? Je chadema ikichukuwa nchi sindiyo mtaweuka, msigwa ni bora mata 1000 ya jiwe
Katumia mbinu ya 2015 mwaka 2020...imeshapitwa na nyakatiMjanja sana hata ccm wengi huchikua form ya urais ili wapewe uwaziri
Kama kuna mccm atakayechukua form,nitakupa ekari 100,buree, huko Mkuranga.Mjanja sana hata ccm wengi huchikua form ya urais ili wapewe uwaziri
Kwa hizi akili zako mtaendelea kunyonywa mpaka makalioKwa ukoo wenu
Kwani kutangaza nia ndio ashakuwa mbrba Bendera ?au unataka wamfukuze kama MembeInasikitisha sana kuona mtu ambaye hajajiandaa anapoibuka na kujidai kugombea Urais.
Hivi Msigwa upo Serious Kweli na Maisha ya Watanzania?
Hivi Chadema mna watu serious kuruhusu haya?
Hivi tunadhani Urais ni lelemama?
Mamvi yupo kwenu.Chadema nendeni mkamuombe mamvi tena.
Msigwa kutangaza nia ni mzaha uliokithiriKwani kutangaza nia ndio ashakuwa mbrba Bendera ?au unataka wamfukuze kama Membe
Kweli kanisa lilimshinda jimbo likamshinda taifa ataliwezaMsigwa kutangaza nia ni mzaha uliokithiri
Kwani mwanzoni alikuwa wapi?Mamvi yupo kwenu.
Alikuwa huko huko kwenu.Kwani mwanzoni alikuwa wapi?
Mbona tunae ambaye hakujiandaa,alisukumizwakama wagombea urais wanavyojiandaa
Msigwa na Jokate mliyempa Wilaya Nani ana akili.Kweli kanisa lilimshinda jimbo likamshinda taifa ataliweza
Kwa hiyo?Alikuwa huko huko kwenu.
Tumeuliza mara kadhaa , kama Magufuli kaweza kuwa Rais wa Tanzania , ni mtu gani mwingine atashindwa ?Inasikitisha sana kuona mtu ambaye hajajiandaa anapoibuka na kujidai kugombea Urais.
Hivi Msigwa upo Serious Kweli na Maisha ya Watanzania?
Hivi Chadema mna watu serious kuruhusu haya?
Hivi tunadhani Urais ni lelemama?