kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Unapokisema vibaya CHADEMA huwakomoi akina Mbowe na Mnyika TU bali unaudhi wafuasi wengi sana wanaokiamini CHADEMA na wanaoamini siasa za vyama vingi. Wapo watanzania wengi tunaoamini vyama vingi vyenye nguvu vinavyoshimdana kwa hoja na sera nzuri za kuwatumikia wananchi ni faida kwa nchi na wananchi wakiwemo hata wafuasi wa CCM wenyewe.
Msigwa anajua kuwa CHADEMA inao wafuasi wengi sana wanao kiamini CHADEMA ambao wamemfikisha hata yeye pale alipo. Hata magauni ya mke wake bila shaka Yana uhusiano na chadema kwa namna yalivyopatikana.
Unaweza kuhama chama bila kuhatarisha uhai wa chama, viongozi na wanachama wa chama ulichokihama, unless ulikuwa pandikizi kwenye chama hicho.
Unataka kusema kuwa wewe unaamini kwenye fikiria za chama kimoja? Ni nchi gani yenye chama kimoja inayokuvutia sana wewe kwenda kuishi huko?
Vitendo na maneno baada ya kuhama chama yanahatarisha maisha ya chama, viongozi na wafuasi wa CHADEMA, unakubaliana na hilo?
Umeingia kwenye orodha ndefu sana ya watanzania ambao walipinga na kudhoofisha demokrasia nchini kabla na baada ya uhuru. Wajukuu na vilembwe vitakuja kukusoma kama mchungaji msaliti na mpenda madaraka uliyekubali kuwasaliti wanachadema wooooote nchini kwaajili ya kunyimwa uenyekiti wa Kanda ya nyanda za juu kusini.
Msigwa anajua kuwa CHADEMA inao wafuasi wengi sana wanao kiamini CHADEMA ambao wamemfikisha hata yeye pale alipo. Hata magauni ya mke wake bila shaka Yana uhusiano na chadema kwa namna yalivyopatikana.
Unaweza kuhama chama bila kuhatarisha uhai wa chama, viongozi na wanachama wa chama ulichokihama, unless ulikuwa pandikizi kwenye chama hicho.
Unataka kusema kuwa wewe unaamini kwenye fikiria za chama kimoja? Ni nchi gani yenye chama kimoja inayokuvutia sana wewe kwenda kuishi huko?
Vitendo na maneno baada ya kuhama chama yanahatarisha maisha ya chama, viongozi na wafuasi wa CHADEMA, unakubaliana na hilo?
Umeingia kwenye orodha ndefu sana ya watanzania ambao walipinga na kudhoofisha demokrasia nchini kabla na baada ya uhuru. Wajukuu na vilembwe vitakuja kukusoma kama mchungaji msaliti na mpenda madaraka uliyekubali kuwasaliti wanachadema wooooote nchini kwaajili ya kunyimwa uenyekiti wa Kanda ya nyanda za juu kusini.