Peter Msigwa: Nilijua Mbowe hatashinda uenyekiti CHADEMA

Peter Msigwa: Nilijua Mbowe hatashinda uenyekiti CHADEMA

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema alishiriki wazi kumpinga Freeman Mbowe wakati akiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, akisisitiza kuwa hakufaa kuendelea kuongoza chama hicho.

Akizungumza katika mahojiano na kituo cha redio cha Ebony FM leo, Msigwa amesema kuwa aliona mapema kuwa Mbowe alikuwa akikipeleka CHADEMA shimoni na aliamini kwa asilimia 100 kuwa angepoteza nafasi yake ya uongozi.

"Kumfanya Mbowe kuendelea kuongoza chama kile ilikuwa ni kukipeleka shimoni, hafai na tunapaswa kuwa na demokrasia," alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa, msimamo wake dhidi ya Mbowe hauimaanishi kuwa waliokuwa madarakani hawawezi kuwa na makosa au kwamba hawezi kuwapa changamoto.

"Nitawawapa changamoto," alisisitiza Msigwa huku akieleza kuwa wengi hawakuamini mwanzo lakini baadaye walikuja kukubaliana naye kuwa Mbowe hakuwa na nafasi ya kushinda.
 
kwahiyo ccm ndio kuna mfumo wa kidemokrasia au uchawa na kifamilia
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema alishiriki wazi kumpinga Freeman Mbowe wakati akiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, akisisitiza kuwa hakufaa kuendelea kuongoza chama hicho.

Akizungumza katika mahojiano na kituo cha redio cha Ebony FM leo, Msigwa amesema kuwa aliona mapema kuwa Mbowe alikuwa akikipeleka CHADEMA shimoni na aliamini kwa asilimia 100 kuwa angepoteza nafasi yake ya uongozi.

"Kumfanya Mbowe kuendelea kuongoza chama kile ilikuwa ni kukipeleka shimoni, hafai na tunapaswa kuwa na demokrasia," alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa, msimamo wake dhidi ya Mbowe hauimaanishi kuwa waliokuwa madarakani hawawezi kuwa na makosa au kwamba hawezi kuwapa changamoto.

"Nitawawapa changamoto," alisisitiza Msigwa huku akieleza kuwa wengi hawakuamini mwanzo lakini baadaye walikuja kukubaliana naye kuwa Mbowe hakuwa na nafasi ya kushinda.
akauze mitumba. 31 votes ni very marginal....mpuuzi
naonawamemsahau, anyway labda yuko kwenye pipeline
 
Nafikiri CCM walicheza karata ya vibaya na vyongo sana kwa usajili wa Peter Msigwa...

Walimchukua huyu bwana ili kupambana na Freeman Mbowe kama mchungaji/Mwenyekiti wa CHADEMA wakitarajia kuwa kupitia Peter Msigwa, ataweza kuibomoa CHADEMA kwa kutumia kanuni ya kibiblia ya kupiga mchungaji (Mwenyekiti Freeman Mbowe) ili kondoo (CHADEMA) itawanyike..

Ghafla baada ya Tundu Lissu kujitokeza kuutaka uenyekiti, CCM hawahawa wakageuka tena na kuona afadhali ya Freeman Mbowe kuliko Tundu Lissu🤔🤔🤔. Freeman Mbowe akawa lulu kwao tena na walihakikisha wanampa kila aina ya misaada ikiwemo CCM kumpigia Mbowe kampeni za waziwazi, za kificho na msaada wa kifedha za kuhonga wajumbe ili tu kumshinda Tundu Lissu, mbinu iliyoshindwa vibaya vilevile...!!

Ghafla, Peter Msigwa akawa hana neno la kusema tena....

Na hilii halina shaka kabisa tena, kwamba, Peter Msigwa kwa sasa hana umuhimu wala kazi ya kufanya huko CCM...!

Ndio maana wakati fulani, Tundu Lissu alimbeza Peter Msigwa kwa kusema,

"...ameshindwa kuwa mvumilivu kupambana tukiwa ndani ya chama, kafanya maamuzi ya kijinga na ya kipuuzi kabisa kuhamia CCM. Kama kaenda huko, basi tutakabiliana naye kama tunavyowakabili CCM..."

Peter Msigwa hana agenda tena dhidi ya CHADEMA. Agenda yake ilikuwa Freeman Mbowe ambaye sasa hayupo tena kwenye position iliyokuwa inampa nguvu na mamlaka ya kuwashughulikia wenzake akiwemo Peter Msigwa...

Sijui CCM watampa kazi gani nyingine. Labda @Tlaahtlaa au Lucas Mwashambwa wanaweza kujibu hili
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema alishiriki wazi kumpinga Freeman Mbowe wakati akiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, akisisitiza kuwa hakufaa kuendelea kuongoza chama hicho.

Akizungumza katika mahojiano na kituo cha redio cha Ebony FM leo, Msigwa amesema kuwa aliona mapema kuwa Mbowe alikuwa akikipeleka CHADEMA shimoni na aliamini kwa asilimia 100 kuwa angepoteza nafasi yake ya uongozi.

"Kumfanya Mbowe kuendelea kuongoza chama kile ilikuwa ni kukipeleka shimoni, hafai na tunapaswa kuwa na demokrasia," alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa, msimamo wake dhidi ya Mbowe hauimaanishi kuwa waliokuwa madarakani hawawezi kuwa na makosa au kwamba hawezi kuwapa changamoto.

"Nitawawapa changamoto," alisisitiza Msigwa huku akieleza kuwa wengi hawakuamini mwanzo lakini baadaye walikuja kukubaliana naye kuwa Mbowe hakuwa na nafasi ya kushinda.
Sasa wako chama kimoja anasemaje?
 
Ndio maana wakati fulani, Tundu Lissu alimbeza Peter Msigwa kwa kusema,

"...ameshindwa kuwa mvumilivu kupambana tukiwa ndani ya chama, kafanya maamuzi ya kijinga na ya kipuuzi kabisa kuhamia CCM. Kama kaenda huko, basi tutakabiliana naye kama tunavyowakabili CCM..."
Quotation yako imeedit, hakuna aliposema Uamuzi kijinga na kipuuzi.
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema alishiriki wazi kumpinga Freeman Mbowe wakati akiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, akisisitiza kuwa hakufaa kuendelea kuongoza chama hicho.

Akizungumza katika mahojiano na kituo cha redio cha Ebony FM leo, Msigwa amesema kuwa aliona mapema kuwa Mbowe alikuwa akikipeleka CHADEMA shimoni na aliamini kwa asilimia 100 kuwa angepoteza nafasi yake ya uongozi.

"Kumfanya Mbowe kuendelea kuongoza chama kile ilikuwa ni kukipeleka shimoni, hafai na tunapaswa kuwa na demokrasia," alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa, msimamo wake dhidi ya Mbowe hauimaanishi kuwa waliokuwa madarakani hawawezi kuwa na makosa au kwamba hawezi kuwapa changamoto.

"Nitawawapa changamoto," alisisitiza Msigwa huku akieleza kuwa wengi hawakuamini mwanzo lakini baadaye walikuja kukubaliana naye kuwa Mbowe hakuwa na nafasi ya kushinda.
Hapa Msigwa kaongea uongo wa wazi. Msigwa baada ya kushindwa uchaguzi aliamini kuwa aliyemfanyaa ashindwe ni Mbowe wakati huo wao walikuwa wamejenga plani yao na akina Lema kuwa wapite uwenyekiti wa kanda ndiyo iwe silaha yao ktk kupambana na Mbowe. Alivyoukosa uenyekiti akawa amekata tamaa akiamini kuwa Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti hivyo alikimbilia ccm kama kujishikiza na apate fursa ya kumnanga Mbowe kama kutuliza hasira. Ila kwa sasa anajutia uamuzi wake wa kukurupuka na hapa sasa anatafuta namna ya kurejea cdm.
 
Kama sababu za kuhamia CCM sio kwa ajili ya fedha na cheo Mbowe hayupo ni kwanini asirejee CHADEMA?.
 
Basi baba Msigwa achana na Mbowe. Kama vipi baba Msigwa rudi chadema
 
Back
Top Bottom