Alishapelekwa Dr Kleruu hakufanya lolote la maana zaidi ya kukatisha maisha yake.Kwa vijana wa sasa mnamjua Kheri James kwamba hanaga mbambamba.
Kokote atakako elekeza mpira ndio litahesabika goli hata kama ni mashariki mwa uwanja sehemu isiyo na milingoti ya magoli yenyewe. Na litakuwa sio goal popote atakapoelekeza Peter Msigwa hata kama ni golini na nyavu zikachanika au kipa kuvunjika mikono.
Halitakuwa goal kabisaaa. Na atapewa Kadi nyekundu kwa kubutua ovyo, ndugu yangu peter jaribu kuangalia jimbo la kilolo labda unaweza kubahatisha. Kheri James afe kipa afe beki.
Hoja yako haina afya kwa mstakabali ya ukuaji wa demokrasia Tanzania. Tanzani ni kubwa kuliko Khery James na Msigwa. Kikubwa na jambo la kheri ni demokrasia iachwe ichukuwe mkondo wake!Kwa vijana wa sasa mnamjua Kheri James kwamba hanaga mbambamba.
Kokote atakako elekeza mpira ndio litahesabika goli hata kama ni mashariki mwa uwanja sehemu isiyo na milingoti ya magoli yenyewe. Na litakuwa sio goal popote atakapoelekeza Peter Msigwa hata kama ni golini na nyavu zikachanika au kipa kuvunjika mikono.
Halitakuwa goal kabisaaa. Na atapewa Kadi nyekundu kwa kubutua ovyo, ndugu yangu peter jaribu kuangalia jimbo la kilolo labda unaweza kubahatisha. Kheri James afe kipa afe beki.
Acha kukariri, huyo Kheri hatoboi huku, labda wampeleke Dodoma hukoKwa vijana wa sasa mnamjua Kheri James kwamba hanaga mbambamba.
Kokote atakako elekeza mpira ndio litahesabika goli hata kama ni mashariki mwa uwanja sehemu isiyo na milingoti ya magoli yenyewe. Na litakuwa sio goal popote atakapoelekeza Peter Msigwa hata kama ni golini na nyavu zikachanika au kipa kuvunjika mikono.
Halitakuwa goal kabisaaa. Na atapewa Kadi nyekundu kwa kubutua ovyo, ndugu yangu peter jaribu kuangalia jimbo la kilolo labda unaweza kubahatisha. Kheri James afe kipa afe beki.
Muulize Jo,atakuambia,kama mwanakulitafuta mwana kulipata😁Kwa vijana wa sasa mnamjua Kheri James kwamba hanaga mbambamba.
Kokote atakako elekeza mpira ndio litahesabika goli hata kama ni mashariki mwa uwanja sehemu isiyo na milingoti ya magoli yenyewe. Na litakuwa sio goal popote atakapoelekeza Peter Msigwa hata kama ni golini na nyavu zikachanika au kipa kuvunjika mikono.
Halitakuwa goal kabisaaa. Na atapewa Kadi nyekundu kwa kubutua ovyo, ndugu yangu peter jaribu kuangalia jimbo la kilolo labda unaweza kubahatisha. Kheri James afe kipa afe beki.
Wewe akili zako ziko makalioni kwenye virutubishoKwa vijana wa sasa mnamjua Kheri James kwamba hanaga mbambamba.
Kokote atakako elekeza mpira ndio litahesabika goli hata kama ni mashariki mwa uwanja sehemu isiyo na milingoti ya magoli yenyewe. Na litakuwa sio goal popote atakapoelekeza Peter Msigwa hata kama ni golini na nyavu zikachanika au kipa kuvunjika mikono.
Halitakuwa goal kabisaaa. Na atapewa Kadi nyekundu kwa kubutua ovyo, ndugu yangu peter jaribu kuangalia jimbo la kilolo labda unaweza kubahatisha. Kheri James afe kipa afe beki.
Huyo huyo,Mnyaru ogg😁Jo huyu huyu au mwingine