tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hahaaaaa hatareee mi nilivomuonaga bba nilimshangaa vitabia vyake tu nikajua game strategy kumbe walishaanzaga kumzibua
teh teh teh vipi nikuunganishie Mwinguru Njembaa???
hapana kwa kweli. mume wa mtu yule bhana. usimfanyie hivyo
Nadhani umeshapata jibu la kazi ya huyo Shemeji yenu Petit man.Hivi huyo dem sorry hako kajamaa kanafanya kazi gani kwa bibi bomba ??????????