mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 637
Nasikia marope alijisevia 'Huruma' kimtindo.Mambo ya ugwadu
Nasikia marope alijisevia 'Huruma' kimtindo.Mambo ya ugwadu
Siku ile anajisifia kumfumua mtu marinda kumbe na yake yanafumuliwa
ndio uzuri wa powerbank inachaji cmu zote kuanzia marope n mkewe.....halafu akipita barabarani eti nae anaitwa baba flani......itabidi muandamane mana vijana wameamua kuhudumia badala ya nyie
Yani ni shida sahivi mme akisimama na mwanamke hapatoshi akisimama na mwanaume pia hapatoshi yani wote sio salama lol
ngoma droo wadada mnapenda masharo na hao ndio wengi powerbank 5000amh inaweza chaji cmu mara 5 kwa cku
Petit ndiye anayemkula February Marope kwa sasa.Law kamtupa febu siku hizi
huruma ndio nini tena dah weka wazi basi au dadavua basi na wewe
Hii imenichekesha sana daah jf kiboko
]Dah yani mpaka sasa
sijamjua mtu mmoja anayezungumziwa wekeni picha basi ya esma, mama ubaya na petit tuwaone
mama ubaya na petit
Petit ndiye anayemkula February Marope kwa sasa.Law kamtupa febu siku hizi
Aah bana videnti ndo vinapenda masharo
hivi kuna chemistry gani kati ya uchoko na wanamitindo wa kuime......mana wote karibia ni machoko hii ya law mda mrefu nlihisi muda wote analamba lips n kurembua macho.....huyo marope nae hatari kazi yke kuwazibua tu
Mbona sielewi elewi
Sijui ni kwanini hivo, wanamitindo, mamodel lazma ni mapunga