Petit Man wakuache

aiseee.....ndiyo maana wadada wakitembea na wazaire wamekwisha habari yao....

hiyo dawa inapatikana na kwa wanawake....(utani)

Ipooo.nenda Kagera au Uganda.Inaitwa shuntama.Utamfukuza mwenyewe!!
 
Lupungu ni dawa wanatumia wazaire.wananyunyiza kwenye uume kama unanyuyiza chumvi kwenye chips.kipigo utakachopata baada ya hapo hutakisahau mpaka unaingia kaburini.ndio maana wazaire wengi wanalelewa mjini kwa mtaji wa Lupungu

kama unayo na mimi nifanyie mpango mkuu
 
Lupungu ni dawa wanatumia wazaire.wananyunyiza kwenye uume kama unanyuyiza chumvi kwenye chips.kipigo utakachopata baada ya hapo hutakisahau mpaka unaingia kaburini.ndio maana wazaire wengi wanalelewa mjini kwa mtaji wa Lupungu

Hiyo Lupumbu ntaipataje bladha?
 
weka picha mkuu,tafadhali
 
Kuna ingine inaitwa putulu, kutoka huko huko Congo DRC!
Ni noma sana hiyo!
 
Yani nimecheka mpaka nahisi watu wa karibu hapa nilipo wananiona chizi..eheee
Kweli petit wakuache. .dogo kala
Madem wengi sana maarufu hapo halafu yeye haongei. .
 
petit kiboko yao
dogo wakamue sana..ufanyaje na umebarikiwa
na mwenyezi Mungu. .mdogo ake Dangoti
hasikii haambiwi na sio yeye tu
dogo kwenye kiuno yuko vizuri yani
Hafanyi masihala
 
~Kwa anayetaka dawa ya kicongo kasongo seven(KS7) Lupungu cha mtoto hiyo ni dakika 180 marathon, ni PM
 
Promo at work,ohh kiuno sijui ninini! We kiuno cha mtu ulikijuaje kama hajakulala? Just curious to know. . Am soleeee in lulu ' s voice. C.T.U
 
Last edited by a moderator:
[y QUOTE=mimihapauk;11809212]Yani nimecheka mpaka nahisi watu wa karibu hapa nilipo wananiona chizi..eheee
Kweli petit wakuache. .dogo kala
Madem wengi sana maarufu hapo halafu yeye haongei. .

We msifie tu Kama zinaa imekuwa sifa vile..ila yupo Salama lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…